Mara nyingi tumezoea kuona kuna baadhi ya kazi huwa zinafanywa na wanaume pekee, kama vile umachinga, kupiga debe, kubeba zege, kuwa kondakta au hata ufundi magari, lakini siku hizi si kitu cha ajabu tena kukuta wanawake wakifanya kazi hizi kama vile mimi nilivyokutana na dada huyu akitembeza...
jamani mfikishieni mh pinda hii taarifa ili akaifute ile kauli yake ya ( wapigwe tu ) yeye ndio chanzo cha mauaji ya maaskari wetu dhidi ya kauli ile ilyotengeneza uadui kati ya raia na askari,
(RIP askari)
ndiyo ni kweli yeye sio mungu mtu lkn wabongo pia hawana umoja, hapa isue ilikuwa ni ndogo sana ni kumtumia ujumbe kuwa ikifika tarehe fulani km hatoachana na manyanyaso, basi kwa pamoja munaweka funguo chini.
muone kama yeye angeweza kubeba wageni wote mwenyewe na awapeleke porini, tatizo kubwa...
mchango wako nimeukubali lkn kiukweli kwa upande wangu mi siwapendi kbs hawa madalali ata kama wana mchango mkubwa ktk maendeleo na shughuli za kla cku za binadamu (kama ulivyonena) lkn kumbuka pia kuwa sometime wao ndio waangamizaji wa maendeleo ya mtu mungine, kwa mfano mdogo tu, umeuziwa...
napi pia ckumpgia huyu jamaa, nilimpigia yule aliekuwa chaguo la wengi ila akachakachuliwa kura. so zambi za urushi ndio zinamtesa huyu mt-mbezi wa nchi za nje
mimi nilichomkubali JK ni kwamba yeye ameridhia na kuelewa kwamba ata wapinzani wanaweza kuiongoza inchi na maisha yakaendelea km kawa, tofauti na mawaziri wake wenye mawazo mtindi ambao wanadhani kuwa wao ndio walizaliwa kuwa viongozi tu,
( shame on U ssm )
Kufuatia mgomo wa daladala hapa jijini Arusha nahisi mambo kadhaa yanaweza kujitokeza iwapo madereva na wamiliki wa magari haya wataendelea na msimamo wao hadi kufika kesho, inawezekana ikatokea fujo kati ya wagomaji kwenda kwa yale magari mengine ambayo yalijitolea kutoa huduma hiyo kwa vile...
pamoja na wema muliouonyesha ktk safari ya mwisho ya mzee Edward mgogo, lakini enzi za uhai wake jamii iliyomzunguka mlimtenga mzee huyu hadi kufikia kuwa anakula jalalani na kwenye mapipa ya takataka. ( r i p mzee mgogo)
kama uwezi kuzima simu ibadani bac mwachie simu kijakazi wako nje ya ibada akuwakilushe ila mimi sidhani kuwa hiyo smartphone yako ina thamani kuliko neno la mungu, ndugu yangu vitu vingine wala haviitaji shule kustaarabika, na yale mabango yanawakumbusha watu wastaarabu ambao wamejisahau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.