Ni kweli kauli mbiu ya Kazi na Bata imekuwa mwiba wa koo kwa CCM
Lumumba kuna waka Moto barua za kuwaita wale Wazee zimekwama, Makamba kasema amechoka wamwite Mzee wa Kazi na Bata hashikiki huku comred akiwa anapiga jalamba msituni
Hakika Bashiru na yule mnunua binadamu viti havikaliki...
Huu ndio muda muafaka Rais kipenzi cha watanzania umshauri Gavana atoe sarafu ya elfu moja yenye picha yako.
Hii itaipa nguvu buku watu wanaiheshimu sasa
Pia itaacha kumbukumbu kwa vizazi vijavyo
Nawasilisha
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka, wale wangunishaji dot tumeshajua ile janja ya nyani
Haswa panapokaribia uchaguzi lazima wanaodai serekali walipwe madeni yao
Uchaguzi ule meremeta wakalipwa uchaguzi ule tena EPA wakalipwa uchaguzi ule IPTL kalipwa sasa uchaguzi huu tumlipe huyu mkulima...
Wasalamu !! Nisipoteze muda ningie direct juu ya hii kampuni ya DstV hapa nchini mbali na madudu kibao wanayotufanyia wateja wao hili sasa ni la kitapeli.
Nilinunua king'amuzi chao hivi vipya nikapewa warranty ya mwaka mmoja
Kabla ya mwaka kuisha kimeharibika nilipowarudishia wakaanza...
Wasalaam na poleni kwa msiba mzito wa taifa,Yes ni wa kitaifa sababu kila mtanzania mwenye siha njema ya akili huu ni msiba mzito.
Nianze na kusimulia ndoto niliyoota usiku wa kuamkia leo kwanza nikiri kabisa lugha ninazozitambua hata kwa kiwango kidogo ni Kiswahili kwa ufasihi, Kifaransa na...
Neno lililomjia nabii Mogul enzi za mfalme jiwe.
Hata ifikapo mwisho wa juma Mfalme huketi na kutafakari juu ya watenda kazi wake kama ilivyo desturi yake.
Tazama hata siku ya pili yule mkuu wa watoza ushuru alipanda hadi ng'ambo ya bahari kushuhudia kama vitu vya mwanamfalme vipo na...
Mh Tundu A Lisu nakutakia Heri ya Mwaka Mpya 2018 Mungu amekupigania watanzania tunakuombea
Hakuna mtanzania asiyejua kazi kubwa na iliyotukuka uliyofanya katika ujenzi na ustawi wa Taifa letu
Naamini wapo mamilioni ya watanzania wataungana na mimi kukutakia afya njema na maisha marefu...
Wadau sitaki niwachoshe nataka numjue huyu radhi coz nina hasira hasa leo baada ya kukosa nishati ya umeme nikiuliza eti Tanesco wameomba radhi huyu radhi ni nani timu ikifungwa inaomba radhi ccm wakiaribu wanamuomba uyo uyo radhi
So wadau radhi ni nani usikute kuna wapumbuvu wanamsingizia...
Imepita miezi kadhaa sasa tangu mtumishi wa Mungu Lusekelo a.k.a mzee wa upako atamke kuwa waandishi wote wa habari waliomuandika vibaya watakufa alihakikisha lazima wafe akaenda mbali zaidi na kusema.
"Kama wasipokufa atarudi kwao kuanzisha biashara ya kuuza gongo"
Binafsi ni juzi nilimsikia...
Kama title inavyosomeka wadau nisipoteze muda nijikite moja kwa moja kwenye swali na ukizingatia nimerudi nchini tu hivi punde.
Swali: Nasikia watu wakilalamika hali ya kifedha ni ngumu kwa sasa hapa nchini je ni kweli?
Natarajia majibu mujarabu haswa ukizingatia mwezi wa ramadhani huu...
Nimekuwa nikisikia viongozi wa juu haswa Rais JPM akijipambanua kila siku yuko kwa ajili ya watu masikini na wanyonge
Hili la wanyonge silisemei coz ni dhahiri huwezi kuwa mbabe then uwe mtetezi wa wanyonge
Tatizo lipo kwenye masikini coz naona wafadhili wanaoalikwa wanakuja na jopo la...
Jana katika Ibada mchungaji Antoni Lusekelo aka mzee wa upako amedai kuwa mvua Dar haitanyesha hadi ujenzi wa barabara inayojengwa kuelekea kanisani kwake ikamilike
Aliongeza akitamba kwamba yeye ana Mungu japo watu wanamzushia maneno
Nashauri mamlaka ya hali ya hewa imtumie huyu jamaa labda...
Awali ya yote niwatakie heri ya mwaka mpya 2017 kwa wale watakaopata neema hiyo.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza ni aghalabu sana kusikia kesho katika vyombo vya habari kwamba katika mkesha wa mwaka mpya watu kadhaa wamepoteza maisha yao ila utasikia katika mkesha wa mwaka mpya watoto...
Nimefanya utafiti mdogo kwenye mitandao miwili ya Kijamii wa kwanza ni JF na wa pili ni Instagram.
Nilichokiona ni post nyingi karibu ya asilimia 85% ya post zote zinalaumu aidha direct au in derect Rais Magufuli.
Kweli hali hii imenishangaza huyu Rais ambaye alipoanza post nyingi zilikuwa za...
Nisiwachoshe wana jamvi nataka naingie direct kuelezea nini kilichomsibu Adam na Hawa kule Eden hii ni kwa majibu wa kitabu cha biblia
Tunajua kuwa nyoka alichofanya ni udanganyifu na Mungu alichukizwa na uongo wa shetani pia na kitendo cha Hawa na Adam kudanganyika
Kufupisha maneno zambi...
Kwanza nimpongeze Rais JPM kwa kubainisha kuwa anashahurika na moja wa washauri wake ni Kagame
Hii imezunja Ile minong'ono kuwa Rais JPM hashauriki
Hivyo basi naomba Kagame umshahuri Rais JPM JUU YA KUONGEZEA MUDA WA KUTAWALA coz hii miaka 10 ya kikatiba haiwezi kuleta mabadiliko ambayo Rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.