Mwambie aone analoona yeye sawa maana vitu vingine hata sio vya kumshauri mtu, kwani yeye anaona kipi bora, kazi au bwana? atakachoona bora afuate hicho hicho
Tena ana roho ya ajabu mimi asingepata nafasi ya kuzungumza na mimi tungekutana huko huko mahakamani natamani kama iyo kesi ingekua yangu yaani dada umewatunza watoto muda wote peke yako na bado unao uwezo unaanza kutishwa na hiyo CRAP ngoja niishie hapa
Chukua ushauri huo wa riwa dada, ni kweli mahakama inaangalia kipindi chote hicho alikua anawatunza? sasa kama alishindwa kuwatunza kipindi hicho sasa ndio ataweza? na lazima atoe sababu za msingi zilizomfanya asitunze watoto wake kwa kipindi chote hicho. Na pia ongea na wanao tena uwafundishe...
umeona eeeeeeeeeeee babu, halafu leo unatakiwa unywe kwa staili hii
MJ1 usisahau kuja na pampas mtoto hatakiwi kunyanyuka kabisa leo . Ni mwendo wa kitoto toto tu sasa babu ole wako uamke kucheza kiduku
Pole yake muathirika, huyo baba alikua anawaza nini kumwambia huyo dada kwamba tuzae mtoto halafu utupe tumlee mimi na mke wangu? kwanza kitendo cha huyo mdada kumkubalia tu ilikuwa inamaanisha kuna kitu anataka kutoka kwao so aliwawekea mtego maridhawa. Na huyo baba inaonyesha alikurupuka tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.