...nakumbuka form one nilikuw bonge la domo zege,,,, sasa waskaji zangu kina "lusekelo" wakanituma nikakatokee kabinti kamoja hivi.... (sikakumbuk i jina)... wakanipa maneno kabisa ya kumwambia kwamba nanukuu "" MWAMBIE HIVI MIMI NIMETOKEA KUKUPENDA SANA ... TANGU MDA MREFU NILITAKA KUKUAMBIA...
anyway mm mwensijajua hivi bajet inapitishwa kwa kutumia pesa? au maoni ya wabunge ndio yanapitisha,.... sasa tujiulize vp kwa bajet zilizopita tayari, nako pesda imetumika au.... wizi mtupu pum**@#fu zao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.