Kama Taifa tuendelee kujifunza kuandaa mazingira bora ya kukabiliana na majanga. Hii ajali kwa mataifa yaliyoendelea wangeokolewa abiria wote ila kwetu, Mungu asimamie.
Leo Viongozi wa chadema wakiongozwa na Mbowe wameonesha usaliti kwa mara nyingine. Awali walijiweka kama wanajali wananchi ila leo wamekuwa tayari kuangamiza watanzania kisa Lissu.
Walijivika joho la WHO huku wakihubiri Sera za kubaki ndani maarufu kama Karantini kumbe ni unafiki mkubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.