Habari wakuu!!
Naomba kuuliza haya makampuni yaliokithiri kila kona siku za karibuni
Yanatoa viwanja na mashamba kwa kulipa kidogo kidogo,,yan ukweli ndani yake??kuna mtu alishajaribu,,maana hadi saba saba walikuwepo na mabanda yao ila bado roho inasita ila wamenitamanisha,eb funguken wakuu...
Hiki kitu nilikuwa sijakifahamu, Baada ya juzi kati natengeneza campaigns kwe admobs za app zangu nakuta total reach ya wa TZ wenye uwezo wa kudownload app ni only 1.3M,,,!! hapo sijatoa wale hawajui hata playstore ni nini, kaz zao ni kupiha na kupokea simu na kuchat whatsapp,cjaweka wale simu...
Ujanja hapo ni kuwa na app ya io blog,Nloggers wote wakubwa bongo now wanatemea apps kuearn pesa za gugo lwe blog zao,,Ndio maaana za blog wengi wakubwa ukienda kwe site zao hukut matangazo ya kueleweka!! so endele kupiga kazi,Tengeneza app kwa ajili ya blog then itangaze app yako kupitia io...
Playstore Pubilsher>user accusation>create campaign, baada ya hapo ukiweka payment option sehemu ya kujaza Bid size ndio watu wanafeligi apo,,,Kuna mtu ana budjet ya 5$ a day anaweka bid size ya 1$, utajikuta kwa siku budjet yako inazidi hadi kufikia dola 50 wakati wewe hukuset ivo!!!, au...
1.Kwa anayhitaji adsense Ac anicheki ,ni Mpya kwa Sh elf 50 tu Moja
-mbinu za kukuza RPM pamoja na mapato utapewa
-na namna ya kuepuka kufungiwa hovyo
2.Anayehitaji group la facebook Lina members elf 60, kwa shilling elf 50! Tu
link hii hapa BOFYA HAPA
3.Bloggers tatizo la Google kufuta...
Naona kuna thread mingi humu zinaelezea Bloging so na mm nikianza tena elezea inakuwa kama Duplicate mKuu,that y nikaweka number yangu mtu mwenye kunihitaje anitafute mkuu wangu
Duu so ukiwa blogger wa zamani huruhusiwi Kutafuta Adsense acount ya haraka ambayo imeshapokea barua(Pin veryfied) ili ufanye kazi zako kwa ufanisi, Watu wanaenda na acount 2 mpaka 3 mzeee kwa mwezi,Fuatilia threads angu ndo utaelewa nina experience ya mwez mmoja au lah! Hii topic iishie hapa...
Duuu kujitesa kote uko kwa nn!!!! Basi wazeee sio mbaya ni Idea yangu tu nimewakwaza samahanini,ina mapungufu pia,siwez mridhisha kila mtu kama hujawa interested basi tu no way!!!!!
Naona wengi wajuaji,Nimepost kwenye wrong place, sio lazima huu uzi hebu uishie hapa
Anayetaka channel url hajui sheria za google na ni moja ya vitu nimeongelea ndani ya kitabu .
Sio vizuri kuweka workplace yako public iwe channel au blogger sio kila mtu anapenda wakikufungulia bots ni dk 1 huna...
By default wewe ni nguli wa youtube au blogger kwa nini hutaki wenzako wajue ????? roho ya kwa nini!! et zipo internet, Ila sawa skujui hunijui yaishie hapa bro
shida sio kufungua mkuu,kuna methods za kukuza suscrubers,kutarget audiance ili upate imoresion zenye quality nzuri ili kuwa na rpm na cpc kubwa kidogo!!!! nk..sasa kama ni utapeli sijalazimisha mtu anunuee:cool:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.