Jesus si ni wapelelezi tu wengine wamechukuliwa kutoka greenguard tu, wengine scouts, wengine vyuoni, wengine waajiriwa selikari za mitaa, wengine serikali kuu, wengine ktk vyombo ya ulinzi na wengine sasa ndo makomandoo. Hata mm na ww twaweza kua majasus ni mafunzo tu na sheria. Ila mm na ww...
Hao dawa yao ndogo ukitaka kuacha kazi unawafuata Wakigoma tengeneza ushahid baadae wanavo kuja kukutafta Unawaambia tu wakati nipo na mlikataa na sasa Sina pesa basi
Habari wadau mie nina biashara ya pembejeo za kilimo sasa changamoto ni mtaji mdogo kuliko mahitaji ya Wateja wangu. Naweza pata mtu au taasisi wa kuniinua kwa mtaji wa fedha au bidhaa za dukani au anae weza kua mdau tufanye biashara pamoja (partner) ili kukidhi soko.? Msaada alie tayari...
Sjui kwa nn mambo yao hua wanayaweka Siri Sana. Hata bidhaa zao ukiuliza bei longo longo kibao mara tuonane kwanza mara nn hadi ujue bei labda umbane Kweli. Pesa rahisi sijawahi kuzifikiria.
Uwe na Tin namba , vibari na mafunzo maalum toka TPRI, TFRA, TOSC kama unaweka na vya mifugo upate na mafunzo toka VET. Mafunzo ni Ghalama Sana. Vibali TFRA na Tosc ni bure, TPRI na Vet ni pesa unalipa .baada ya hapo Unaenda TRA upate tax clearance ili ukapate Resen ya biashara halmashauri uliyopo.
Habar Kuna jambo la TPRI, linanichanganya kidogo Hasa kwa watu walio hitimu vyuo vya kilimo na mifugo. Mtu kakaa darasani 2, 3 or 5yrs alafu akitaka kufungua duka la pembejeo eti had akapate mafunzo maalum ya siku tatu kwa malipo ya tshs 320000 TPRI, 450000 vet, 300000 mamlaka ya Mbolea 300000+...
Mi pia lengo langu ni January 2019 Kama mzima nataka niingie mtaani. Nikiwa na ekari 50 [emoji609] tractor 1 na mashine ya kusaga nafaka Basi najichimbia kwetu Mbozi naachana na kazi ya uafisa kilimo ili niwe mkulima na niwe huru zaid
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.