Kwa mahitaji ya
#Ving'amuzi
#Ufundi
#Tv set up
#Kurudisha signal zilizo potea
Na vifaa mbali mbali vinavyo husiana na dish
Wasiliana nasi 0652170490
0689433371
Ulipo tuna kufikia
Sent using Jamii Forums mobile app
Chaneli yako pendwa ya ZBC inapenda kuwatangazia kuanzia tarehe 31/8/2017 watazima rasmi mitambo yao ya analogy na kuingia kwnye mfuno digital hvyo wananchi wote Wanatakiwa kununua ving'amuz ili kuendelea kupata matangazo ya ZBC....
Sent using Jamii Forums mobile app
RANGERS MADISH; tunapenda kuwatangazia wateja wetu wa azamtv kuwa kuanzia tar 1.9.2017 kutakua na mabadiriko ya vifurushi kama ifuatavyo..
Azam pure 18000/=
Azam plus 23000/=
Azam play 28000/=
hii inatokana na kuongezeka kwa chanel za burudan ikiwemo ile azam sport 2....
Kuelekea msimu huu wa biashara
Bei ya azamtv Tsh140,000/= pia utapata na kifurushi cha 28,000 kwa miezi miwili bureee
Dstv 69,000 utapata na kifushi cha 20,000 mwezi mmoja buree pamoja na kufungiwa...
Bei hizi ni kwa wale watakao fika moja kwa moja kwenye mabanda yao
Bei hizi ni msimu...
Kwa mahitaji ya king'azi vya aina zote
kufunga dish(installation)
kufunga tv ukuta(tv set up)
kurudisha signal zlizopotea
Tupo Magomeni Mapipa
kwa maelezo zaidi 0652170490
Hii inatokana na kukosekana kwa mzigo makao makuu maagenty na madealers wanauza bei watakazo na co ile elekezi, king'amuzi cha azamtv pamoja na dish kilikuwa135,000/=, kwa sasa king'amuzi hicho ni 145,000/= hadi 150,000/= bila ufundi wala kifurushi cha awali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.