Sijaandika siku nyingi lakini nimepata Habari za uhakika kutoka kwa viongozi wa Chama Tawala kuwa Mwigulu naye atakatwa kama Lowasa kwa sababu kufuru anayoifanya Iramba si ya kawaida. Msafara wa magari kumi kila aendapo. Imewakera sana watu hadi kufikisha habari hizi na sasa kishaazimiwa...
Huelewi ukiandikacho. Pengo alikubaliana na wenzake bila ubishi na ndiyo maana kanisani kwake ujumbe ule ulisomwa kama kawaida ila yeye alielezea reservations zake tu. Na hilo sio kosa hata kidogo.
Tundu Lisu taahira tu. Ni kweli watoto wake hawatasoma huko, sana sana wale watoto wa wananchi wa kijijini kwake wataendelea kusoma shule hizo na yeye wakimpigia kura tu, apate mahela ili awalipie watoto wake shule nzuri nzuri ikibidia wakasme hata Ulaya. Kazi kweli kweli!
Mwigulu wewe ni pot wangu tena nakusalimu kinyumbani "Ulaile iza ne mbwane wee?". Sasa nakusihi kitu kimoja, nafasi ulizonazo sasa zakupasa uwe unakuwa mtulivu na ukitaka kusema kitu kwa umma tafuta watu wazuri wa kukuelekeza namna ya kusema (kubali kuna watu makini zaidi yako) ama wa kukusemea...
Thread yako inadhihirisha uzezeta tulionao WaTZ. Unafikiriaje kuandika katika lugh ambayo hadhira itakayokuelewa ni asilimia 5 mpaka 10 tu. Kuna haja ya kukusaidia ushauri wa kwenda kupima ukichaa wako, yawezekana ukichaa wako unaongezeka siku hadi siku. Kacheki pls.
Lukuvi alikuwa anatekeleza wajibu wake vizuri tu. Unajua kuwa huyu bwana aliwahi kuwa kachero (shushushu)? Ni kawaida kwa makachero kufuatilia mambo km hayo na yakiwa mabaya kuyazuia kabla hayajaenda hadharani. So sioni ajabu kwa kachero kutaka kujua nini kilikuwemo kwenye Taarifa ya PAC kabla...
Nina uhakika kwa asilimia 100% maazimio ya Bunge kuhusu sakata la Escrow yale ambayo yameletwa kwako uyafanyie kazi ni mtego kwa sababu ukiyafanyia kazi kwa mapenzi ya wanasiasa utaumiza sana watu wako Serikalini. Jaribu kufikiri ni kwa nini wanashambuliwa zaidi watendaji wateule wako kuliko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.