Kwa kweli inasikisitisha kuona wanafunzi ambao wanakosa vifaa vya kujifunzia kama vile, maabara na vifaa vya maabara wanashiriki kwenye kampeini,sijui watanzania tutafunguka lini fahamu zetu kuona wapi tulipo na tunaelekea wapi.Bila kufanya mabadiliko ya kweli tutendelea kulalamika tu.
It's me...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.