Search results

  1. M

    Kumteua Omary Ramadhani Mapuri kuwa Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi ni kinyume na Ibara 74(14) na (15)(c) ya Katiba ya Tanzania

    Tuliambiwa lini kwamba Mapuri amejitoa uwanachama wa CCM. Kama alikua katibu wa CCM ni sahihi kasa kusema huyu ni mwanachama wa chama hicho. Kimsingi uchaguzi Tanzania ni kama maigizo. Rasi watanzania anamalaka kubwa sana. Sijui kwanini Nyerere alituachia katiba kama hii ambayo ifaa kipindi...
  2. M

    Rais Samia: Wananchi walipe gharama halisi ya kuunganishiwa umeme

    Mimi naona mama yuko sahihi kwa hili swala la umeme. tufike mahali tuache sera za kijaamaa ambazo hazina maana. Wananchi wahimizwe kufanyakazi ili waweze kulipia huduma. baadala ya kuwapa ruzuku kila wakati. Swala a ruzuku lifanyiwe tadthmini na wapewe wananchi wale ambao uwezo wao ni mdogo...
  3. M

    PhD ya Musukuma yazua gumzo, Chuo kilichomtunuku hakitambuliki

    Watanzania tumekua watu wa ajabu sana. watu wanapewa degree za heshima wanaona kitu kikubwa sana. Haya mambo huwezi kuyasikia nchi nyingine duniani. Ukitaka degree ya maana si uende ukasome.
  4. M

    Mgogoro wa Ethiopia unadhihirisha umadhubuti wa mfumo wetu wa mikoa dhidi ya ule mfumo wa majimbo

    Naona kuna mapungufu mengi sana kwenye mfumo wetu wa Kimikoa. Siungi mkono moja kwa moja mfumo wa majimbo, lakini nadhani tungepitia upya mfumo huu uliokuwepo na kuuboresha. Na pia niseme si wajibu wa chama cha siasa kubadili mfumo wa kiutawala. Swala hili linatakiwa liwe kwenye katiba. Sio...
  5. M

    Kituo cha Mabasi cha Magufuli kimegeuka soko kwa sababu ya usimamizi mbaya

    Wenye Masi waruhusiwe kichukua abiria kutoka sehemu mbalbili za Jiji. Wajiwekee vituo vyao, kama ilivyokuwa kwa baathi ya kampuni kama Dar express Kilimanjaro nk. Masi yaruhusiwe kufikisha abiria kati kati ya jiji ili kuwaondolea usumbufu maana baada ya flyover kujengwa pamoja na mwendo kasi...
  6. M

    Ikiwezekana, Bunge lianze na mswada wa dharura kujadili Katiba Mpya; hii Katiba ya sasa kitendo cha Makamu kutambuliwa kuwa mrithi ni hatari

    Uraisi wa kuangukia sio?! Lakini wazo langu ni kumlinda Rais dhidi ya fitna na hila. Makamu angekuwa Rais wa mpito tukingoja uchaguzi mwingine na ikiwezekana na yeye ashiriki.
  7. M

    Ikiwezekana, Bunge lianze na mswada wa dharura kujadili Katiba Mpya; hii Katiba ya sasa kitendo cha Makamu kutambuliwa kuwa mrithi ni hatari

    Nimeona mfano huko Kenya, kwenye kiti cha Gavana, mgombea mwenza antafuta njia ya kumuondoa Gavana ili yeye awe gavana. Naimetokea si mara moja. Lakini kwa kiti cha Rais walikua wajanja hawakuweka hicho kifungu.
  8. M

    Ikiwezekana, Bunge lianze na mswada wa dharura kujadili Katiba Mpya; hii Katiba ya sasa kitendo cha Makamu kutambuliwa kuwa mrithi ni hatari

    kusema kweli Wagobea wenza wengi wana sifa lakini hziwezi kufikia za wagombea wenyewe. halafu kwa upande mwingine makamu anaweza kupata tamaa. Pia ingeondoa kugombania nafasi hiyo kama ilivyo sasa ndani ya CCM
  9. M

    Ikiwezekana, Bunge lianze na mswada wa dharura kujadili Katiba Mpya; hii Katiba ya sasa kitendo cha Makamu kutambuliwa kuwa mrithi ni hatari

    Huu ni mwanya. unaweza tumika vibaya. Zaidi ya hapo wanchi hawapati nafasi ya kumchagua. Pia, wakati mwingine Nafasi ya makamu wa Rais anapewa tu mtu ili kujaz nafasi, bila kuwaz kwanba anaweza kuwa raisi siku moja.
  10. M

    Ikiwezekana, Bunge lianze na mswada wa dharura kujadili Katiba Mpya; hii Katiba ya sasa kitendo cha Makamu kutambuliwa kuwa mrithi ni hatari

    Nimeona kifungu hiki kitatuletea shida huko mbele. sinshida na mama samia kuwa Rais, lakini hata yeye anaweza athirika. Pia tutawapa wanachi nafasi ya kuchagua mtu wanayempenda.
  11. M

    Ikiwezekana, Bunge lianze na mswada wa dharura kujadili Katiba Mpya; hii Katiba ya sasa kitendo cha Makamu kutambuliwa kuwa mrithi ni hatari

    Ndugu watanzania napendekeza kipengele cha katiba ya Tanzania kinachompa Makamu wa Rais nafasi ya kurithi kiti cha Urais moja kwa moja kama ilivyotokea kwa Suluhu kibadilishwe haraka. kwa sababu kipengele hicho kinahatarisha usalama wa Rais Makamu wa Rais anaweza kushawshika kumdhuru Rais...
  12. M

    Uhamiaji Tanzania: Bila dhumuni la safari hakuna kupewa pasi ya kusafiria (Passport)

    Utaratibu wa uhmiaji ni wa zamani sna. nadhani sasa kuna haja ungaliwe upya na kufanyiwa marekebisho. Tutumie wabunge wetu wapeleke hoja Bungni ili kuboresha Idara /Jeshi la uhamiji.
  13. M

    Uhamiaji Tanzania: Bila dhumuni la safari hakuna kupewa pasi ya kusafiria (Passport)

    kweli bado tuko nyuma sana kwenye mambo mengi ikiwa pamoja na hili la passport. nchi nyingi hata majirani zetu kenya wanazalisha watalaam wa nyanja mbalimbali na kutokana na uhaba wa ajira nyumbani watu wao wapo karibu kila mahali duniani wakitumia taluma zao nakutuma pesa nyumbani. kwao ili...
  14. M

    Mama Samia: Katika wakati muhimu Watanzania kushikamana ni wakati huu, Si wakati wa kusikiliza maneno yanayotoka nje yakatuparaganya vichwa

    Watanzania tunashida, Huyu mama anashindwa kuwaeleza watu wake waliomchagua na kumuamini kwamba Rais wao ana hali gani. Badala yake anaeleza kwa mafumbo kweli? Eti tushikane. Halafu sisi tunamshangilia.
  15. M

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi? Kariakoo au Magomeni?

    Huko nyuma Rais hata akipiga simu au akisalimiana na mtu utaona tarifa kwa Umma. Vyombo vya habari lazima vioneshe habari kumhusu Magu kila siku, sasa iweje leo kimya?
  16. M

    Nilivyoyaona maendeleo ya Tanzania baada ya kuwa Ulaya kwa zaidi ya miaka minne

    Maona wachangiaji wengi wanamshutumu mtoa mada bila bila sababu za msingi. Kama nchi naona kwenye swala la mipango miji tumekwama. Sio kwa Dar pekee bali miji karibu yote. Kama kitu rahisi kama kupanga mji kunatushinda mengine tutayaweza?
  17. M

    Nilivyoyaona maendeleo ya Tanzania baada ya kuwa Ulaya kwa zaidi ya miaka minne

    Umeongea vizuri sana. Ki ukweli utadhani viongozi wetu na wataalamu wetu hawajawahi kusafiri nje ya Tanzania. na hata kama hawajawahi sehemu zilizojengwa na kupangwa na wakoloni kwenye miji yetu ndio nzuri hadi leo hii. Hakika miji ya tanania inasikitisha sana. Hata hizo highway tunazoambiwa...
  18. M

    Kunani Makongo Juu kutojengewa barabara miaka nenda rudi?

    Eneo la Makongo juu wilayani Kinondoni, limekuwa na shida ya barabara kwa miaka mingi sana. licha ya eneo hili kuwa maa muhimu na maarufu., na kukaliwa na watu mashuhuri, limekosa barabara kwa muda mrefu sana. Makongo juu inapakana na kambi za Jeshi za Lugalo, Makongo na changanyikeni, pia...
Back
Top Bottom