Search results

  1. Y

    Wenye uzoefu namna kupunguza salio(float) kwenye machine za Selcom na bank ili kupata cash wanisaidie

    Wakuu Naomba mwenye uzoefu naomba anisaidie Nimefungua ofisi ya biashara ya miamala ila napata changomoto watu wakitoa pesa kwa wingi float inajaa, Changamoto inakuja namna ya kupunguza salio la kwenye machine ili kupata cash hasa kwa selcom ambapo tumejiunga na benki kadhaa. Tumefuatilia...
  2. Y

    Tukiomboleza kifo cha Sultan Qaboos Al Said tusimsahau Jamshid Al Said anayeishi Uingereza aliyepinduliwa12.1. 1964

    Habari wakuu Wananchi wa Tanzania wameguswana sana na kifo cha Sultan Qaboos bin Al Said,Pia viongozi wametoa pole katika mitandao ya kijamii na wakati akiumwa wananchi wengi walimuombea apone . Hata leo wengi bado wameweka status zakumkumbuka Ukizingatia uhusiano mzuri na historia pana...
  3. Y

    Rais Museveni hapendi Tanzania ifungwe bora watoe draw

    "I'm happy with a draw because I'm both a Ugandan and a Tanzanian, all my countries won." Rais Museveni alisema katika mechi iliyopita bora draw kwani yeye ni raia wa nchi zote. Tunashukuru leo kutusupport tumeweza kwenda AFCON
  4. Y

    Hongera Waziri Mkuu kupiga marufuku viroba vijana wanaafya sasa bado kubeti

    Hongera waziri mkuu kwa hatua uliyochukua ya kupiga marufuku viroba. Vijana mtaani sasa wananawiri wananenepa wakati zamani muda wote walikuwa wembamba na wananuka pombe wakiongea ni matusi tu. Sasa tunaomba uchukue hatua suala kubeti kwani nalo linaathiri sana vijana pesa chache wanazozalisha...
  5. Y

    Nani alaumiwe juu ya Makonda; SITTA kwa kumlea,JK kwa kumpa cheo na JPM kumdumisha?

    Wakati suala la mheshimiwa Makonda likishika kasi kwenye vyombo vya habari inabidi tujiulize nani alishindwa kuona udhaifu wake aliyemlea au aliyemleta kwenye siasa au aliyemdumisha kwenye siasa. Mheshimiwa Sitta aliona kipaji gani kwake mpaka wanasema alimpenda sana na akamuingiza kwenye...
  6. Y

    Upigaji marufuku mifuko ya palstiki uliishia wapi?

    Kulikuwa na habari kuwa january 2017 itakuwa mwisho wa utumiaji wa mifuko ya plastiki ila mpaka hii machi kimya. Ingawa mifuko ya plastiki tunaihitaji sana ila bado jitahada za kupunguza matumizi yake lazima ziwepo Kwa maoni yangu naona pawepo na jitihada za kupunguza utumiaji wa plastiki kwa...
  7. Y

    Kama watoto(under 18) hawatakiwi kutumia kwanini watangaziwe Pombe kamari nk

    Habari wakuu Kuna matangazo mengi ya vitu ambavyo mtoto chini ya miaka 18 haruhusiwi kutumia lakini tangazo linakuwa kuubwa mwishoni ndio unakuta hilo onyo Kwa mzazi yoyote atakubali kuwa haya matangazo jamii ya kwanza kuathirika ni watoto kwa kuwa wao ndio wanatumia muda mwingi kwenye TV na...
  8. Y

    Mauaji Kibiti Rufiji Mkuranga Busara itumike kutatua tatizo bila kuzidisha chuki

    Habari waungwana Tushauriane busara gani itumike kukomesha mauaji ya watumishi wa serikali maeneo haya? Kuna haja busara itumike kutafuta mzizi wa tatizo hili na suluhisho la kudumu kwani katika kanda hiyo kumekuwa na matukio ya vurugu kwa miaka karibia mitano iliyopita na mara nyingi...
  9. Y

    Kifo cha Saitoti -Tujikumbushe paruwanja la mihadarati Kenya -Tanzania tujifunze nini?

    Tuangalie video hizi kujua viti ya madawa ya kulevya ni ngumu ikihushwa na kifo cha Saitoti na wengine wengi Angalia vidoe ujifunze mengi
  10. Y

    Hijabu,vilemba na kufuga ndevu vyaruhusiwa kama uniform za kijeshi Marekani

    Jeshi la Marekani limeruhusu rasmi uvaaji wa Hijabu na vilemba kama unifrom marekani The hijab is now an official part of army uniform in America Female soldiers in the US Army will now be allowed to wear the hijab — just as long as it is made from flame-resistant material. New regulations...
  11. Y

    Huduma za dharura mtu apatapo ajali mtaani

    Katika hali ya kawaida ya binadamu muda wowote mtu waweza pata ajali au kupatwa na ugonjwa wa ghafla ukiwa mwenyewe mtaani au barabarani Je kwa nchi kama yetu ambapo hakuna kitengo vya dharura ambavyo vinawafuata wagonjwa sehem walipo nini kwa kawaida kinafanyika? Je ni sawa kuendelea...
  12. Y

    Sehemu ya kujifunza kuflash na kutengeneza sim

    Habar wakuu Nina dogo anataka kujiajiri kwa kuwa fundi sim wapi anaweza kujifunza namna ya kuflash sim na kufanya matengenezo madogo madogo ya sim. natanguliza shukran
  13. Y

    Utaalamu wa Ujenzi: Kuotesha msitu ndani ya ghorofa

    video link Vertical Forest in Milan on Vimeo kwa habari zaidi link See The Forest That's Growing Within A Concrete Block In Milan two large building blocks in the middle of Milan covered in a rich, green forest? Why yes, yes it is. In the Porta Nuova district of Milan, Italy, there is a...
  14. Y

    Selcom paypoint na Max-Malipo ipi ina faida zaidi?

    Habari waungwana, Nina ofisi yangu ya biashara huku mikoani nataka nijiunge na moja ya kampuni hizo Max-Malipo au Selcom paypoint. Naomba mnijuze ipi ina faida zaidi kwenye vocha, LUKU na huduma nyinginezo ipi yenye customer care nzuri na yenye future ya kuenea zaidi kwani kampuni za bongo...
  15. Y

    Viongozi wa manesi TANA kuwaponda madaktari ni sahihi?

    Taarifa ya habari ya sa 2 ya ITV wameonesha viongozi wa TANA wakisema kuwa madaktari hawajafanya vizuri kugoma hivyo wao wamejipanga vizuri kuwafariji na kuokoa maisha.
  16. Y

    Tafsiri fasaha ya intern doctors ni madaktari wanaoongeza uzoefu

    Katika tafsiri ambazo naona kila mmoja anaongea lake ni maana ya itern doctors baadhi wanasema madaktari waliokuwa kwenye mazoezi ya vitendo ingawa tafsiri ndio naona kama imefanywa rasmi ila naona ina upungufu Madakatari hawa wameanza kufanya mazoezi.ya vitendo toka mwaka wa tatu au wanne...
  17. Y

    What doctors do when they don’t know the answer

    What doctors do when they don’t know the answer 1. Revert to “novice” thinking. Which, in fact, is completely appropriate. We’re taught in medical school that approximately 90% of all diagnoses are made from the history, so if we can’t figure out what’s wrong, we’re supposed to go back to the...
  18. Y

    process za kuomba passport kwa mtanzania aliyezaliwa nje ya nchi

    Habari waungwanaNaomba msaada wa hili swala kwa wazee wa fikra pevu, kuna rafiki yangu alizaliwa nje ya nchi baadae familia ikarudi tz, akasoma primary mpaka college hapa nchini, juzi alienda kuomba passport akakutana na waungwana wakamtisha wakamwambia yeye sio raia je process ya kuomba...
  19. Y

    Study Says Most Women Want To Marry A Doctor

    A survey shows that doctors are the most admired and most trusted marriage partners. By contrast, actors and musicians, along with journalists and advertisers, were among professionals that people trusted the least, and were also least likely to choose a partner from, according to a survey by...
  20. Y

    Je babu angetangaza ametumwa na mungu agombee urais matokeo yangekuwaje

    leo nilikuwa nasikiliza redio moja wakawa wanasema babu kachangia sana maendeleo ya kijiji cha semumge ikiwa na pamoja kuwekewa minara ya sim za mkononi, na kujengewa barabara, wakauliza je hiki kingekuwa kipindi cha uchaguzi. babu akatangaza ameambiwa na mungu agombee urais matokeo yangekuwaje
Back
Top Bottom