Hatua ya mwekezaji Mwingereza kuishtaki Zanzibar kutokana na uamuzi wa serikali ya Dkt Mwinyi kuvunja mkataba wa kukodi ardhi inaweza kuwa na athari kwa mwanasiasa huyo 2025.
Kampuni ya Pennyroyal Ltd imefungua kesi dhidi ya Zanzibar katika Kituo cha Kimataifa cha Usuluhishi wa Migogoro ya...
Hamahama Wabunge,Madiwani: Chadema Inatuficha Ukweli?
Kwa mara nyingine tena, Mbunge mwingine wa Chadema ametangaza kukiacha chama hicho na kujiunga na CCM. Sfari hii ilikuwa zamu ya Joseph Ole Millya, ambaye tetesi za kuhama kwake zilisikika kitambo.
Tofauti na huko nyuma ambapo viongozi wa...
Hatimaye leo Julai 9, 2018 nimefanikiwa kutuma petition niliyoifanya kwa siku kadhaa mtandaoni kwa ajili ya kumtaka Kamishna wa Haki za Binadamu huko Umoja wa Mataifa aitishe uchunguzi kuhusu mamia ya watu "waliopotea" huko Mkuranga, Kibiti na Rufiji (MKIRU) sambamba na "kupotea" kwa mwandishi...
Sioni sababu yoyote kwa Kubenea au gazeti lake la Mwanahalisi kuzusha habari hii. On top of that, ukweli kwamba Mbowe na viongozi wengine wa ngazi za juu Chadema wamepuuzia ishu ya "kupotea" kwa Ben, makes even more sense.
======
UTATA kuhusu kutoonekana kwa Bernard Saanane, msaidizi wa...
Kuna taarifa kuwa binti mmoja maarufu katika fani ya urembo/umiss na pia ametokea kwenye videos za bongoflava amedakwa na unga huko Far East. Hii ni developing story...I will name her when it's confirmed 100%
=====
Pia soma:
Jackline Cliff amwandikia barua Millard Ayo toka Gerezani
Mrembo...
Anything goes in war. Na kwa sasa Chadema ipo vitani dhidi ya CCM,with the latter fighting for survival.
Hivi kwa wanaoijua Chadema kiundani, allegience ya Lwakatare kwa chama hicho ilikuwa kubwa kiasi gani? Na hata kama ilikuwa kubwa kupindukia, je hakuna uwezekano kuwa fedha za kifisadi...
On the eve of Chinas new Presidents visit to Tanzania, which starts tomorrow, March 24th, I thought I would need to share my views on those topics and issues I would like to advise our government to put on the table in our negotiations with Mr. Xi Jinping and his government delegation as the...
Tanzanian journalists under attack
Journalists in Tanzania are being intimidated by beatings, harassment and death threats. In the latest example, Absalom Kibanda, editor of the newspaper Mtanzania (The Tanzanian), was attacked outside his home and suffered serious head injuries.
He was...
2012, mwaka wa chuki za kisiasa, kiuchumi
Evarist Chahali
CCM, Upinzani ishara si njema
Nchi tajiri kuiyumbisha Tanzania
NIANZE makala hii ya kwanza kwa mwaka huu kwa kupigia mstari pointi mbili za msingi. Kwanza, kama nilivyokwishawahi kubainisha huko nyuma, katika kujiingiza kwenye fani...
Nimekuwa na wazo la kuanzisha tawi la Chadema hapa Uingereza,sio kwa vile CCM wana matawi yao nje ya nchi bali imani yangu kwamba Chadema as a formidable opposition party na ambacho kimeweka mbele maslahi ya nchi badala ya kisiasa kinapaswa kuungwa mkono ndani na nje ya Tanzania yetu.
Kama...
Siri za wizi alizofichwa Mkaguzi Mkuu nje nje
Mwandishi Wetu
Aprili 20, 2011
- Mabilioni yaligawanywa kama njugu kufidia hasara hewa
- Ni kampuni 27 za vigogo, imo Al-Adawi iliyovuna mil 400/-
WAKATI Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) akiripoti kunyimwa orodha ya kampuni za...
Kwa kweli kuna mwamko na hamasa kubwa baada ya ujio wa Dr Slaa.Kwa sie tulio mbali na huko nyumbani kipimo kidogo ni comments katika tovuti za magazeti na nyinginezo.Binafsi nimekuwa nikifuatilia comments katika tovuti ya Mwananchi,ambapo yayumkinika kuhitimisha kuwa zaidi ya asilimia 90 ni watu...
What else could you say?Tovuti ya Raia Mwema-jarida tulilokuwa tukiliamini kwa taarifa zake fasaha- ina habari za toleo la wiki iliyopita.Kumbuka hilo ni jarida linalotoka once a week kwa hiyo wana muda wote wanaohitaji kwa ajili ya kuweka habari za toleo jipya.Namini sio kwa sababu ya uzembe...
Pingamizi ndio kama tulivyotarajia,Tendwa katekeleza maagizo aliyopewa Ikulu na JK.Sasa kila dakika ni mithili ya muujiza usiojirudia. Tumeshanyanyaswa vya kutosha, utawala wa sheria umeshachezewa sana, tunachohitaji ni immediate action.
Naamini hao wanasheria mahiri wa CHADEMA wameshapitia...
Ni siri ya wazi kuwa taasisi yenu imekuwa ikifanya kazi za CCM. Hilo lingekuwa sio tatizo laiti kufanya hivyo kungekuwa kwa maslahi ya taifa.
Tunaamini kuwa kuna wazalendo mliosalia ndani ya taasisi hiyo, na huenda hamridhishwi na namna chombo hicho kinavyoendeshwa kwa maslahi ya mafisadi...
Kila Mtanzania mwenye akili timamu,na mwenye uchungu wa dhati kwa nchi yetu anatambua kuwa miaka mingine mitano kwa JK ni mithili ya kuisukuma nchi yetu kwenye tanuru la vurugu na mchafuko.Yah,tunaambiwa Tanzania ni kisiwa cha amani na utulivu,lakini hata visiwa huwa vinakumbwa na vimbunga.Na...
I said it yesterday (angalia hapa https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/66784-kwa-ufupi-bilal-alikuwa-aondoke-ccm-7.html#post986362),na inaelekea jamaa wa Majira wana mtizamo kama huo.
CHANZO: Majira
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.