Sikia chief, namtetea don, hii site yake ilikua ni test tu ya project yake na ndio maana akawauliza mnaionaje ili kama mkimpa moyo kwamba ni nzuri au afanye marekebisho gani ndio aipandishe rasmi. hii swala la kutengeneza demo kila mtu anafanya kabla ya kuingia gharama za kununua hosting,script...
Kipindi kama cha miaka 3 nyuma chama pinzani kikubwa kilikua C.U.F Leo mnakipaisha chadema????? mhhhhhhhh mi naona mnajihangaisha tuuu CHADEMA hakina maendeleo yoyote kitakacholeta zaidi wakiingia ni Ulaji tuu. Ni Bora mara milioni C.C.M maana maendeleo mingi wameleta. we fikiria mpaka now...
kaka tuonyeshe kazi zako ulizofanya tujue kama unaweza kutengeneza site za uhakika. usije tukakupa kazi kisha ukatumia wordpress au joomla na kisha uka host kwenye free hosting
Je unataka Htc aina gani? mimi niko uk kama unahitaji taja aina ya htc unayotaka na hela ulokua nayo kisha nitainunua na kukutumia kisha nitakwambia ikishafika ukaichukue wapi na ulipie. kwa mfano kuna htc wildfire, htc desire, htc desire hd, htc sensation , htc hd2, htc hd7 itakua vizuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.