Hii huduma ya toto afya NHIF wamefeli kwenye Promotion sasa wanaamua kuwafanyia ukatili watoto mfano leo hii makampuni makubwa tunaona Kila siku matangazo yao wakijitangaza tuchukulie Mfano Kama makampuni ya Simu ukiwasha radio/Tv haipiti dk 30 hujaona tangazo la Eidha voda tigo au Airtel,leo...
Jamani njoeni hapa mnitie moyo, hii ni kawaida au vipi?
Mwenzenu nimehamia nyumba hapa Mwanza nina wiki 2. Shida yanguu sijawahi kuona wapangaji wenzangu ingawa wao wana kazi wanarudi jioni kwa maelezo ya mwenye nyumba, nyumba hii inatenganisha sisi wapangaji na mwenye nyumba kwa ukuta tuu...
#FAHAMU Mwanaume mmoja nchini Nigeria mwenye umri wa miaka 42 anapambania kuokoa maisha yake baada ya kuzikata sehemu zake za siri na kisu ndotoni, baada ya kuota anachinja mbuzi kwa ajili ya kumsaidia mke wake kuandaa chakula cha jioni.
#EastAfricaRadio
Wewe ni mwenyeji wa Arusha?
Wewe ni mkongwe wa Arusha?Unazijua “mbanga” za Arusha? Unawajua hawa? Kyusa, Zungu, Kababuu, Pengo, Mojaa, Juma Kipisi, Jumanne Mjusi, Sadiki Mkindi na Wengineneo?Kwa mkongwe wa Arusha, nina hakika kabisa majina haya yamekusisimua sana. That is a list of daring...
Huwa sipendi sana kuingilia imani ya mtu ila kwa jana nimeona kabisa MTUME na NABII Mwamposa kuna dalili za upigaji[emoji2307][emoji2307]
Kuna mahali nilikuwepo wameweka ile chanel yake watu wanatoa ushuhuda jamaa mmoja akasema alienda kuomba apate hela akala na keki siku hiyo yupo nyumbani...
Hivi kwa nn siku hizi tukienda disco haipigwagi blues?
Ukute ulienda peke yako bila mupenzi halafu muda wa blues ufike [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utaona mtu anazunguka kona zote, utasema midfield kishet, anahaha kuangalia msichana gani yuko pekee, mwisho anatoka nje kwenye...
Hivi kwa nn siku hizi tukienda disco haipigwagi blues?
Ukute ulienda peke yako bila mupenzi halafu muda wa blues ufike [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utaona mtu anazunguka kona zote, utasema midfield kishet, anahaha kuangalia msichana gani yuko pekee, mwisho anatoka nje kwenye...
Kuna Rafiki yangu amegombana hadi kafikia kumpa talaka mkewe kisa tu ana maambukizi ya VVU.
Ilivokuwa:
Rafiki yangu ananisimulia kuwa mke wake wakati ana Mimba aligundulika ana VVU mimba ilipokuwa na miezi saba ila yeye alipimwa hana, walirudia kupima sehemu tofauti na ile majibu yakaja vile...
Kuna Rafiki yangu amegombana hadi kafikia kumpa talaka mkewe kisa tu ana maambukizi ya VVU...
Ilivokuwa
Rafiki yangu ananisimulia kuwa mke wake wakati ana Mimba aligundulika ana VVU mimba ilipokuwa na miezi saba ila yeye alipimwa hana, walirudia kupima sehemu tofauti na ile majibu yakaja vile...
Mwezi wa nne nikiwa safarini kutoa Arusha-Dar nilibahatika kukaa siti moja na Binti mrembo kweli kweli,,na alikuwa mchangamfu sana,tulioeana kwa muda mfupi tukapiga story nyingi sanaa sanaa,,tulivofika korogwe(hotelini) akaniomba simu yangu apige picha kadhaa sababu hakuwa ba smartphone kwa...
Hi guys.... Huyu apa ni MTANZANIA mwezetu. Tunaombeni Msada kwa yeyote anae mjua huyu jamaa... Au anaye mjua ndugu Yake yeyote. Kwan amefariki Dunia Jana tr 22/08/2018 nchin ZAMBIA na bado tunatafuta ndugu jamaa na marafiki popote walipo katika mkoa wa Arusha TANZANIA ...pls kwa anaye mfahamu...
MAMBO YA KUZINGATIA KWA KIJANA AMBAYE HUJAOA...
Wanasema ujana Ni maji ya Moto, wengine wanasema chezea ujana fainali uzeeni lakini vitabu vitakatifu vinasema "mkumbuke Mumbai wako siku za ujana wako kabla hazijaja siku mbaya machoni pako".
Na Mimi nasema ujana Ndio maisha yenyewe ambayo mtu...
Habari wana jukwaa, Hili ni miongoni mwa vitu ambavyo wanawake wengi huwa wana vimiss katika mahusiano yao ni swala la kufika kileleni. Ofcourse inahudhunisha kwa mwanamke kufanye sex bila kufika huko lakini asilimia kubwa hawawezi kukwambia mwanaume ila wanaishia kuumia moyoni na kuanza...
kwa mara nyingi nimerejea JF baada ya kupata changamoto mwaka 2015 iliyofanya nishindwe kuendelea kuwa active JF..
Nashukuru Mola leo baada ya miaka mitatu nimerejea nikiwa na Nguvu za kutosha...
Wakongwe naombeni mnijuze kama bado kuna uhuru wa kutoa mawazo kama zamani zile au mambo...
Na Bollen Ngetti
KAMPUNI ya Vodacom Tanzania Limited, hiki mnachokifanya ni wizi na unyang'anyi kama ulivyo ukabaji, kuvunja nyumba ya mtu na kumuibia au kumpora Mali yake kwa nguvu na hata kumjeruhi au kumuua. Kinachotia hasira na hasara zaidi ni kuona TCRA wanajua wizi na utapeli huu lakini...
Mkurugenzi Mtendaji wa MeTL Group, Mohammed Dewji ametajwa na Jarida la African Leadership kuwa mmoja wa watu ambao watawania Tuzo ya AFRICAN LEADERSHIP AWARD 2016. Njia pekee ya kumwezesha kuwa mshindi na kuleta tuzo nyumbani Tanzania ni kumpigia kura kupitia: VOTE FOR THE ALM PERSON OF THE...
SIMBA SPORTS CLUB
D'SALAAM, TANZANIA
14/12/2016
*TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI*.
Klabu ya Simba inapenda kutangaza marekebisho madogo ya usajili iliyoyafanya kutokana na mapendekezo ya benchi la ufundi chini ya kocha Mkuu Joseph Omog.
kwenye maboresho hayo klabu imewapandisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.