Moja kati ya Riwaya za HOVYO na Kipumbavu kuwahi kusoma ni hii...Riwaya ndefuu haina kichwa wala miguu,,mtunzi anajaza matukio mengii mradi iwe ndefu isio na tija
Elfu 10 yangu nililopa bora ningenunua Malaya tu nipunguze uzito
Niliwahi msikia kiongozi mmoja wa Dini akisema
Mwenyezi Mungu anapokubariki Utajiri unakuwa kama Mti wenye matawi mengi ule mti ulipewa matawi mengi ili wakati wa jua Ndege watakuja kupumzika na watu wataketi chini yako kupata kivuli,sasa usije kukufuru Mwenyezi Mungu akaamua kukukausha au...
[emoji28][emoji28][emoji28]
Swali hili likikolea vichwani mwa wengi nchi itakuwa ngumu kuiishi hii!!
uliza maswali ya kawaida haya fikirishi yanaamsha hisia
Wakiendelea kukuzungua nenda Upareni kwa jirani zako hapo kawapasulie Chungu
Waambie kabisa kama kweli mwanangu hajafa sababu ya kuadhibiwa na mwalimu mimi nakwenda kulilia mababu nitavunja chungu kama hamkuhusika basi hakitawapata ila kama mmhusika sisitaka kikao
Ndo dawa
Hii Haiba yako unayozungumzia umenikumbusha mimi wakati nasoma haiba yangu ilikuwa ya upole mnoo ikitokea kosa nikiwemo ndani Mwalimu anaweza wasamehee wote akiamini ni bahati mbaya
Ila ukweli mimi ndo nilikuwa kiongozi wa magenge yote ya kihuni shuleni,kutoroka kwenda night club,kufanya...
Acha wivu
Ukialika wasio na uwezo ni bora zaidi, sio mbaya ukialika wenye uwezo pia
Kujaribu kuwaweka karibu wasio wa dini yetu sidhan kama ni jambo baya
Watawezaje kua waislamu ikiwa hawatoujua uislam?
Lakin pia mbona hoja hii inakuja tu kwenye kufturu kwenye harambee za kuchangia miskiti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.