Hahaahaa nakumbuka nilikua nasumbua nyumbani mpaka nikawa kero kwelikweli..nlikuwa mtu nsiependa shule mtaa mzima..lkn matokeo yakija top three nlikuwa sikosi..nakumbuka nlikuwa napewa zawadi shule kila mwisho wa mwaka..mzee akawa akinipa kisago anasema najisahihishia mitihan..nakumbuka nliwahi...
Wanaogopa kupewa kesi ya utakatishsji pesa Ila ukweli tar 28 oct..alaf kaa ukijua wanaojitambua utawakuta Twitter na jamiiforum tuu..huko insta na Facebook ni wasiojitambua ndio wapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.