Poleni na majukumu ya hapa na pale, mimi ni dereva wa taxi mtandao natafuta gari ya mkataba au hesabu kwaajili ya kazi za abiria kupitia application za Bolt, inDrive na nyinginezo.
Kwa mawasiliano zaidi napatikana kwa namba 0688066177. Ahsanteni.
Natafuta gari kati ya aina ya corola (toleo lolote zile old model), toyota duet, carina old model, vitz zile za zamani au aina yoyote ile namba A, B au C itakayokua ya bei rahisi (3-2 mil), kwa mwenye nayo na akikubali malipo kidogo kidogo tuwasiliane 0688066177
Habarini wakubwa kwa wadogo, nimepata dhalula ndugu zangu natafuta mkopo wa riba 100000 ntalipa kwa mwezi mmoja, dhamana ni laptop aina ya asus. Kwa mwenye kuweza kunisaidia tukutane pm tafadhari.
Habari wakubwa kwa wadogo.
Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo juu natafuta gari ndogo nitakayoingia mkataba na mwenye gari wa kuifanyia kazi kwa mkataba na malipo ya kila wiki.
Kikubwa zaidi isiwe na cc kubwa na makubaliano ya kiasi cha kulipwa hayo tutajadili na mwenye gari...
Habari zenu wataalam wa afya!
Mke wangu alijifungua kwa operation mtoto ana miezi tisa sasa, sasa huwa tunashiriki tendo kwa kuangalia kalenda tu kujua siju za hatari na salama.
Sasa imetokea mke wangu kapata ujauzito na mtoto ana miezi tisa na bado ananyonya, wife kapanic na anaitaji kutoa...
Habari zenu!
Kwa wale agents wa kutoa magari pamoja na madereva wanao safirisha magari, napenda kuomba nafasi kama itapatikana kusafiri na dereva kama msaidizi wake ili nipate uzoefu kwenye kazi hiyo, pia wale agents kama mna connetion na hao madereva pia mnaweza kuniunganisha nao ili nipate...
Habari ndugu jamaa na marafiki.
Mimi ni baba wa mtoto mmoja, ninaishi na mzazi mwenzangu ambae tunafanya wote kazi ofisi moja.
Kuanzia mwanzo wa mahusiano tuliishi kwa misukosuko sana maugomvi kila wiki mara tunaachana mara tunarudiana na chanzo ni yeye ila ni mwepeai sana wa kuomba msamaha...
Habari zenu!
Natafuta rafiki wa kike aliye huru na muda wa kutosha kua kalibu na mimi awe anaishi Dar es salaam au hata mikoa jirani.
Mimi najitegemea na bado sijaoa na nimuajiliwa kwenye kampuni flani apa Dar.
Hakuna vigezo wala masharti magumu kwa yeyote kalibu inbox!
Sent using Jamii...
Nimenunua simu aina ya LG, ila nikitaka kuingia kwenye menu ya tigo pesa au kujiunga na vifurushi inaandika invalid mmu code na inakata hapo hapo. Pili kwenye message inataka maneno 80 tu na zaidi ya hapo inachange from sms to mms! Msaada kwa wataalam wa hizi vitu.
Muda mfupi uliopita nimetoka kuachana na mpenzi niliyedumu nae kwa takribani miezi tisa, sababu kubwa ni kila ninapofikilia maisha ya baadae yatakuaje nakosa jibu.
Huyu binti ni mzuri wa muonekano na kabila ni mrangi ila tatizo yeye ni muislamu na mimi ni mkristu. Mwanzoni alisema anaweza...
Mimi ni muhitimu wa stashahada ya manunuzi na ugavi mwaka 2013, tangu kumaliza sikufanikiwa kupata mtaji wala kazi yenye kipato kinachoeleweka, nimekua nikipata hela ya kula tu na kujikimu kwa mambo madogo madogo. Sasa naona kama muda unazidi kwenda na malengo niliyojiwekea yanaweza yasitimie...
Ni kwa miezi kalibu miwili nilikua nikisumbuliwa na maumivu kwenye magoti kila ninapopanda ngazi au nikikanyaga sehemu yenye muinuko laikini kwenye tambalale sisikii maumivu. Sasa kwasasa yapata kama mwezi mmoja sijagegeda maana niko mbali na mchumba wangu na chaajabu ni kwamba maumivu yale...
Habari za wikiendi mabibi na mabwana!
Nimekuja na swali nnaimani kuna madokta humu watanipa ufafanuzi. Kipindi kama cha miezi mitatu nimekua nikisikia maumivu makali kwenye magoti pindi ninapopanda ngazi au nikiwa nataka kukanyaga sehemu yoyote yenye muinuko lakini sehemu tambalale sisikii...
Naomba nianze kwa kuwasalimu wapendwa,
Yapata miezi mitatu tangu nikutane kimwili na mchepuko wangu, bado sijaoa ila niko kwenye uchumba yapata mwaka wa pili na bibie ambae nimempa nafasi ya kuja kua mke. Katika swala la kujamiiana na ule mchepuko pamoja na mpenzi wangu uwa natumia kalenda tu...
Kama kichwa cha kinavyosema hapo juu, kuna uitaji wa haraka sana juu ya kurekebisha jina kwenye cheti cha kuzaliwa maana kimepishana herufi moja ya jina na vyeti vya masomo, Kwamfano jina la Omary kwenye cheti cha kuzaliwa ila vya masomo ni Omar. Kwa wanaojua hatua za kufuata kubadilisha iyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.