Search results

  1. Mungu Mweusi

    Ndugu acheni Ujuaji kwenye nyumba za watu

    Nimeamini ndugu ni zigo la misumari. Kuna ndugu yangu kila akija kwangu anapenda kujifanya Kama kwake vile. Kila kitu ni kukosoa, kuanzia chakula mpaka vyombo vya ndani. Yaani sijawahi kuona watu wajuaji Kama huyu duh!! Akifika eti anapanga chakula Kama kwake; Leo nimemuamualia nimemwambia wife...
  2. Mungu Mweusi

    Wanafunzi wengi wanashindwa kufanya homework wanazopewa

    Hivi nimekaa nimejiuliza, Hawa watoto wanaosoma shule za wenye hela/Kulipia. Kila siku wanapewa home work na hata ukiwauliza wengi wanategemea msaada wa wazazi katika kufanya hizo home work. Sasa nataka kufahamu hizo Ada wazazi wanazolipa na wao mnawalipa mshahara? Maana ndiyo wanafanya kazi...
  3. Mungu Mweusi

    Mapokeo Ya Simu ya Kuitwa kazini

    Wadau naomba tushee experience ya mapokezi ya simu ya kuitwa kazini baada ya kufanya interview. Wewe huwa unaiopokea kwa maneno gani au kwa vitendo gani?
  4. Mungu Mweusi

    Kiswahili cha wapi hiki?

    Leo nimekutana na kijana, wakati tunaongea ameniambia maneno ambayo Kwa kweli sikumuelewa eti "Mzee Baba" maana yake nini?
  5. Mungu Mweusi

    Ushauri wa Kuezeka Nyumba

    Naamini wanaJF wrote mko salama na kwa wale wagonjwa mungu awaponye upesi. Swali langu kwa wale waliokwisha jenga, ninataka kuezeka nyumba yangu lakini nipo njia panda. Je kuezeka kwa bati ya Simba dumu Geji 28 au kuezeka kwa bati ya Alaf ya rangi Geji 30 kipi Bora? Je ni rangi au ubora wa bati?
  6. Mungu Mweusi

    Wanawake walioolewa na tabia ya kushikashika pete zao

    Hivi kwa nini unapokuwa na mazungumzo ya kazi/kijamii na Mwanamama au mwanadada aliyeolewa na kuvaa Pete, Mara nyingi mkiwa mnaongea utakuta anashikashika Pete yake. Hii huwa ina maana Gani? Kwa sababu Mimi huwa nakasirika sana.
  7. Mungu Mweusi

    Kwa nini Matajiri/Wasomi wa Tanzania Hawatoi Sponsorship

    Katika nchi nyingine Duniani, Matajiri na Wasomi mfn.Maprofesa wamekuwa wakisaidia wanafunzi fees katika masomo yao hasa Higher learning (Bachelor, Masters mpaka PHD) lakini hapa kwetu hata kama wapo ni wachache sana. Je, tatizo ni Selfishness au kutoelewa umuhimu wa elimu?
  8. Mungu Mweusi

    RIWAYA-PAMBANA NA HALI YAKO

    SEHEMU YA KWANZA Wakati Angel anakimbilia kuwahi ndege, ghafla alijikwaa katika shimo dogo lililokuwa kwenye geti la kuingia uwanja wa ndege na hivyo kusababisha kuumia kifundo cha mguu wa kulia. Nusu saa kabla ya kuingia uwanjani aliwasiliana na hawala yake raia wa Ufilipino, Mr. John ambaye...
  9. Mungu Mweusi

    Nauza banda la biashara Kisesa, Mwanza

    Nauza Banda la Kisasa la kufanyia biashara aina yoyote(Mabati ya Grill) na kuezekwa vizuri kwa bati bado jipya. Ukubwa Mita 8 kwa 7, pia linahamishika. Liko vizuri, kwa anayehitaji pia kuna kabati za vioo 2, meza, viti 2, Simu kadhaa, accessories kadhaa, na Line ya Mpesa. Sababu ya kuuza...
  10. Mungu Mweusi

    Acheni kupanda Daladala Mabega wazi

    Aisee huwa sipendi kukaa kwenye daladala na mdada au mmama akiwa mabega wazi. Unakuta anakugusa kwenye bega au shati huku anatoka jasho kwapani kama chemchem. Badilikeni
  11. Mungu Mweusi

    Je wewe ni msichana mwenye kipaji cha Utangazaji?

    Msichana mwenye uwezo wa kuongea kiingereza fasaha anahitajika; awe kidato cha 4 au 6 au fresh Graduate katika Mass Communications au social science, awe na interest ya kuwa presenter, awe mrefu kuanzia futi 5, awe presentable pia awe na moyo wa kujitolea. Location: awe anaishi Mwanza mjini, pm...
  12. Mungu Mweusi

    Utafiti wangu kuhusu Ukuaji wa Mtoto (Child Development)

    Napenda kusalimia GT wote ndani ya jukwaa hili, ambapo tunapata fursa kujadili masuala mbalimbali. Katika kipindi cha Miezi 6 iliyopita, kuanzia July-December 2016. Nimekuwa nikifanya uchunguzi wa makuzi ya mtoto wangu ili niweze kugundua hatua za ukuaji wake na mabadiliko ya tabia. Nitaeleza...
  13. Mungu Mweusi

    Man Fongo Vs Mayunga

    Huku ni kudharirishana; ndy maana wengine wakaona wasishiriki!!
  14. Mungu Mweusi

    Mwaka Unaisha, Kinachofuatia 2017?

    Habari vijana wenzangu, wazee shikamooni? Mwaka ndiyo huoooo unakatika. Sijajua kwa kila mmoja Wetu Mwaka 2016 ulimuendeaje. Tuachane nao kwa sababu umeshapita ila tutakuwa tuna makovu na mafanikio pia. Sasa agenda Yangu kuu hapa sisi kama vijana tupeane mawazo wewe unadhani 2017 umepanga...
  15. Mungu Mweusi

    Expired Date ni Tatizo

    Unanunua bidhaa ukiangalia maandishi mengine yanavutia kweli lakini sasa kwenye expiring date duh[emoji85] kichekesho, inafinyangwa finyangwa ili usione vizuri. Acheni ubabaishaji mtatulisha sumu!!
  16. Mungu Mweusi

    Biashara ya Dawa na vifaa vya Mifugo

    Habari za Jpili JF, Nina wazo la kuanzisha Duka la kisasa la Dawa za mifugo, naishi eneo la wafugaji hivyo sina wasiwasi na wateja. Issue ni dondoo za biashara hii, mfn.Dawa za jumla zinanunuliwa wapi, utaratibu wa kusajili, nk. Naomba ushauri wenye Tija
  17. Mungu Mweusi

    JF shukrani zenu, nahitaji kura zaidi

    Hello friends; I Nyamoni Warioba from Tanzania, I have been nominated for the YOUTH CITIZEN ENTREPRENEURSHIP Competition in the Best Idea 2016 Category. I would be happy if you support my idea with Comments and Votes. You can support my Ideas by: a) Voting for it b) Commenting and Giving...
  18. Mungu Mweusi

    Kitovu cha Mtoto Na Imani Zake

    Hakuna kipindi kigumu kwa mtoto mchanga anapozaliwa kama siku 7 za mwanzo. Wazazi wengi huwa makini kuchunga kitovu mchana, usiku kucha kuchunga kitovu; kitovu hiki kinahusishwa na imani nyingi ikiwemo; endapo kitadondoka kwenye Uume/uke wa mtoto basi mtoto Huyo atakuwa tasa au hanithi; je kuna...
  19. Mungu Mweusi

    Je, ni kweli mtoto mchanga anachagua siku yake ya kufa?

    Habari zenu na poleni kwa uchovu wa majukumu. Hivi ni kweli kwamba watoto wachanga huwa wana mawasiliano na malaika? Na je ni kweli watoto wachanga huwa wanajua tarehe yao ya kufa na mtoto mwenyewe ndy huchagua tarehe yake ya kufa?
  20. Mungu Mweusi

    Frame za madirisha za mbao na za vyuma zipi nzuri na imara?

    Habari wadau, kati ya frame za madirisha za mbao na Hizi za vyuma zipi nzuri na imara?
Back
Top Bottom