Habari za muda huu wakuu,
Nataka nifungue studio ambayo ina deal na masuala ya motion graphics hususan mambo ya 3d pamoja na 2d sasa natafuta mtu ambae mwenye uzoefu wa kutosha ambae ninaweza kushirikiana naye.
Ambae yupo tayari anicheki whatsApp 0736323245 napatikana.
kaka kwanza nikusahihishe malaika mtoa roho haitwi ezraili anaitwa malakat mauti halaf hilo suala la kusema eti roho inaenda kutembea ikipita katika njia sio zake huyo mtu haamki huo ni uongo tena uzushi kwasababu mambo ya kifo ni mambo ya ghaibu hakuna ajue isipokuwa Mwenyezi Mungu tu sasa wewe...
kwa nchi zilizoendelea ni sawa coz watu wanajua matumizi sahihi ya mitandao lakini kwa hapa kwetu bongo facebook ndo imekuwa sehemu ya kuonesha watu maungo yao, sifa waonekane wana uwezo kifedha ili mradi tu siku ipite!!!
mkuu mimi huwa haipiti mwezi bila kuota nyoka wa kijani tena wadogo wadogo, siku nyingine huwa naota hao hao nyoka wakijani wadogo wadogo wananikimbiza, pia huwa naota nawapenda sana paka kwenye ndoto huwa namfanya kama rafiki
Naomba nijue mkuu hizi ndoto huwa zina maana gani..!!!
wakuu nimekunywa chai ya mdarasini nimechanganya na vijiko 2 vya asali kama lisaa limoja hivi
sasa hivi nimemeza tena vituu swaumu kama vipunje kumi hivi
bac domo lote limechafuka
utaratibu huu ndo nimeuanza leo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.