Bolsto Solutions Ltd, approved supplier wa EFD machines, tunatoa offer KWA MUDA MFUPI KATIKA KIPINDI HIKI CHA RAMADHANI, njoo ujipatie mashine yako kwa bei nzuri na kwa haraka bila usumbufu. Wahi kabla hujapitwa. Ni kwa muda na idadi maalum.
Tupo kariakoo, mtaa wa Lindi na Livingstone, karibuni...
Bolsto Solutions Ltd inawatangazia wafanyabiashara punguzo maalum kwa ajili ya msimu wa sikukuu. MAshine zitauzwa kwa Sh. 400,000/= tu. Wahi mapema kabla kabla stock ya offer haijaisha.
Fika katika moja ya ofisi zetu, mtaa wa lindi na living stone kariakoo au ya mtaa wa swahili na bibi...
Tunauza bajaji zisizotumia mafuta. zinatumia betri za kuchaji. ikiwa fully charged inaweza tembea km 80 hadi 100.
Ni imara, na unapewa warranty ya mwaka mmoja. na spea zake zinapatikana kwa urahisi. Pia ni rahisi kuitumia/kendesha.
Za abiria zinachukua abiria 6 waliokaa kwa starehe na pickup...
Kwa anayehitaji mashine ya TRA (EFD machine) afike ofisini kwetu, tupo kariakoo karibu na hotel ya tansoma au office za tigo tawi la nkurumah (kituo cha basi cha goldstar, gerezani).
Ofisi zetu zinaitwa Bolsto Solutions Ltd.
Ukifika ulizia chacha, niweze kupata discount yako. bei ya kawaida ni...
Naona mchakato wa katiba mpya unafikia ukingoni, tarehe karibu zitapangwa kwa ajili ya wananchi kupiga kura ya maoni.
kinachonisikitisha au kunishangaza sijaona juhudi mathubudi kuhakikisha wananchi wote watakoenda kupiga hiyo kura kwanza wameisoma na wameielewa hiyo katiba wanayoenda kuipigia...
Habari zenu wana jamii,
Kuna swala nakutana nalo kila siku. Wafanyabiashara wengi wanadhani ya kwamba wakianza kutumia mashine wanakatwa kodi 18%. Jambo hili sio hapa Dar tu, hata mikoani nimekutana nalo.
Si kweli wafanyabiashara wote wanakata 18%. Kwa lugha rahisi, mashine hizi hazibadilishi...
Habari wana Jamii,
Vitu muhimu vya kuzingatia kabla ya kwenda kununua mashine ya efd. Wengi kama binadamu wa kawaida tunaangalia zaidi bei nafuu, especially kwa mtu ambaye hanunui kwa hiyari.
Chagua supplier ambaye upo karibu naye au wana office yenye technician. hii ni kwa sababu ki sheria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.