Pamoja na Tafsiri nyingine zote za Ubinadamu zilizopo Pia kitendo cha kulazimika kutoa kitu chako kwa ajili ya mwingine mwenye uhitaji, huo ni ubinadamu wa kiwango cha juu sana. Kitendo cha Rais Magufuli kukubali kuuza mahindi ambayo ni akiba kwa wananchi wa Tanzania ili kitumike kwa wakimbizi...
Kwa wale wanaolalamika kuwa hawajalipwa korosho,wanauhakika si miongoni mwa makangomba.
=====
Dar es Salaam. Rais John Magufuli ameipongeza Wizara ya Kilimo kwa kazi nzuri hususani ununuzi wa korosho za wakulima huku akisema kuna akaunti 3,000 za wanunuzi wasio na mashamba maarufu kama...
Kuna taarifa kwamba baadhi ya wabunge wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa kushirikiana na baadhi ya wajumbe wa bodi ya korosho iliyotumbuliwa wako katika harakati za kutaka kuharibu taswira juu ya ununuzi wa korosho unaofanywa na serikali hasa katika mikoa ya kusini kwa dhumuni la...
Mwenyekiti wa Chama Cha Tanzania Labour Party (TLP) na Mwenyekiti wa bodi ya Parole Agustino Mrema amekosoa maazimio sita ya vyama vya upinzani nchini kwa kile alichokidai yanaweza yasiweze kuwa na matokeo yeyote kwa medani za siasa nchini.
Kwa mujibu wa Mrema maazimio hayo si mara kwanza kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.