Wakuu kwanza natanguliza Shukrani na salamu kwenu,
Mimi ninao mtaji wa shilingi milioni 3, nina ndoto za kufanya biashara ya mazao kutoka Mbeya kwenda Dar.
Je, nini changamoto na kipi cha kuzingatia katika biashara hiyo? Pia naomba ushauri kama kiasi cha mtaji huo kitaniwezesha kufanya...
Tujulishane machimbo ya kupata gym affordable na zenye vigezo vyote,
Wapi sehemu unayoijua mdau,sio lazima iwe eneo ulilopo Ila kama unaijua tupe qualifications na bei yake
Hii itasaidia kwa wale ambao huwa hawajui wapi watapata sehemu ya kufanyia maoezi nk
Imagine,ulikuwa umekwama,huna unalotegemea ndani ya uwezo wako linaloweza kukukwamua hapo ulipo,kila mtu unampigia simu unamkopa pay,anakwambia sina,na wengine ambao wamekwambia sina,sio kwamba hawana kweli ila tu hawaoni umuhimu wa kukusaidia na shida yako,Sasa Anatokea muungwana mmoja anaamua...
Habari za leo wakuu,
Maisha yana changamoto nyingi sana,zingine zinaweza kukutoa kabisa kwenye hari uliyo nayo,au kwenye kitu ambacho ulikuwa umekusudia kukifanya.
Si rahisi sana kumwambia mtu fulani,usikate tamaa,wakati akijiangalia kimaisha anakokwenda na aliko toka bado hakuna dalili ya...
Kumekuwa na wimbi kubwa la watu wanaohisi wana upungufu wa nguvu za kiume au na maumbile madogo(vibamia), hali ambayo ni hatari sana. Hatari hiyo ni kubwa kwa sababu baadaye inaweza ikapelekea kuwa ni tatizo la kisaikolojia na pia hata wanaoamini hivyo kwa kiasi kikubwa wamekuwa na tatizo la...
Wakuu naombeni msaada,kila nikitaka ku copy document yoyote kwenye Pc yangu naambiwa you need administrator permission to copy this file,tatizo ni nini?
natanguliza shukrani!
Wilma Rudolph Biography.com
Athlete, Track and Field Athlete(1940–1994)
5.8K
SHARES
Track and Field Athlete
Birth Date
June 23, 1940
Death Date
November 12, 1994
Education
Tennessee State University, Burt High School
Place of Birth
St. Bethlehem, Tennessee
Place of Death
Brentwood, Tennessee...
Wasalaam,
kama kichwa kinavyojieleza hapo juu,kwa nini waafrika wengi mtu anapokuwa hawezi kuongea kiingereza huwa tuna muona kama si lolote si chochote,Kuna Kipindi nimewahi kufanya hizi kazi za utalii kwa hiyo niliweza kugundua mawili matatu juu ya lugha ya kiingereza
1.Mzungu hata ungeongea...
A student from UCLA has just achieved the highest score in history on an IQ test designed by Mensa, and she claims her astonishing result is due to her daily ingestion of sperm.
26-year old Alicia Franklin, was already a member of the high IQ society Mensa, after scoring 154 in her...
Habari waungwana,
Huwa nakata tamaa sana na mwanamke wa ki afrika anaye jipiga carolyte ili afanane na Mzungu, hawajajua labda thamani yao. Kitu walichofanikiwa wazungu ni kumfanya mwafrika ajidharau mwenyewe hasa mwanamke, aisee wanawake wa kiafrika ni wazuri duniani hakuna, hivi ndio vitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.