Mie nadhani ni mkakati kuhakikisha vipaji vya michezo haikui ..maana wanajua wakivieendeleza na kuvikuza watoto wa kimaskini watatoboa wakitoboa watapata exposure hivyo itakua ngumu wao kuwatawala... hivi unadhani Tanzania kwa vipaji tulivyo navyo wangeenda ulaya kisha warudi wafanye kama...
Hahahahaha..ni kweli kabisa, ila na mm pia nilichangia maana shule zilikuwepo na mpira ulikuwepo.. ila home walitaka shule zaidi ..
Na hata serikali haiamini vipaji vingine wao wanaamini vipaji ktk masomo tu ndio maana unakuta kuna shule za vipaji ktk masomo lkn hkn shule za serikali za vipaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.