Nipo uwanjani hapa sheikh amri abeid arusha, uwanja umegoma kujaa kama ambavyo edward lowassa aliujaza wakati wa kutangaza nia ya kugombea akiwa ccm kabla hajahamia chadema.
Habari wadau
Tukio la jijini hapa Mwandishi wa Habari Leo John Mhala amewekwa kati na genge la wanawake kutoka DSM na kujikuta akisutwa na kupakwa matusi kedeke baada ya kudaiwa kusambaza picha za ngono za kocha wa timu ya AFC Arusha aliyekuwa akila uroda na mke wa mchezaji wake.
Kazi maalumu...
Chini ya Mwenyekiti wake Robnson Meitinyiku Baraza la UVCCM Mkoa wa Arusha limekuja na maazimio ya yanayomtaka Katibu wa Mkoa Mary Chatanda endao ikibainika kuwa kuna ubadhirifu wa fedha katika Umoja huo basi asihamishwe mkoa mwingine badala yake apelekwe mahakamani ili iwe fundisho.
Serikali ya Kikwete, imemuhonga Gari aina ya (PRADO)New Model Askofu wa Kanisa la Anglikan Tanzania, Askofu Chimeledya baada ya kufanikiwa kumuangusha aliyekuwa Askofu Mkuu Dk. Valentino Mokiwa katika uchaguzi uliofanyika mapema mwaka 2013. Mbali na Gari,imethibitishwa pia kwamba nyumba...
Gari la Mkuu wa Mkoa Arusha likiwa limembeba huku likitimua vumbi pembeni ya uwanja wa ndege wa Arusha, RC Mulongo alikuwa akiwahi uwanjani ili kujionea ndege ya Ethiopia boeing 767 ikiruka baada ya kufanikiwa kunasuliwa kwenye udongo ilipotua kwa dharura Jumatano, pembeni ni uziwa wa wavu wa...
Huyu ndio mwandishi Joseph Ngilisho wa magazeti ya udaku, Zanzibar Leo, Sema Usikike,Dira ya Mtanzania na mengine mengi. Jana alikamatwa kwa kuomba rushwa ya Sh. Milioni 2 pale EAC. Leo Januari 29 amepandishwa kizimbani kusomewa mashitaka yake.Mbali na tuhuma hizo mwandishi huyo alikuwa anatumia...
Wadau Ipad inasumbua ushamba; Ni kwamba huyu jamaa alikamatwa jana Januari 28, Mwaka huu mchana maeneo ya Hotel ya African Tulip jirani na ofisi za Barclays Bank alipoanza kufuatiliwa ndio akala mbio akiwa na Milioni 2 mfukoni, sasa alipoonza PCB wanazidi kumfuata akaona mbele kuna geti la...
Wadau, nawasilisha kwenu; Jana mchana Januari 29, 2013 anayejiita mwandishi wa habari Joseph Ngilisho wa magazeti takribani yote ya UDAKU, ZANZIBAR LEO, DIRA YA MTANZANIA, SEMA USIKIKE, REDIO WAPO, REDIO SUNRISE N.K ambazo amekuwa akiziandikia kwa kutishia watu hatimaye amekamatwa na PCB kwa...
MKUU wa Mkoa wa Arusha Magessa Mullongo amzawadia TUZO ya Uandishi Bora wa habari za Jamii na Maendeleo Meru Mwandishi wa habari Mary Mwita wa Gazeti la Mtanzania
Magessa alitoa kwa uongozi wa Halmashauri ya Meru kuwa jina la Mwandishi wa habari Mary kwani amekuwa akiandika habari bila...
Wadau kwa maombi na sala zetu mbele za Mungu tuendelee kumuombea Sajuki Mungu ampe afya njema juzi alianguka jukwaani Arusha akijiandaa kuburudisha mashabiki wake Uwanja wa Sheikh Amri Abeid
Wana JF;
Taarifa za kina nilizozipata zimewataja rais wa Kisomali waishio Arusha (SILVER PARM, DUKA LA PEMBEJEO ZA KILIMO, DRY CLEANER, NA INTERNET CAFE) wanatajwa kuwa ni ndugu wa karibu wa Abdulhaman Kinana. Wasomali hao wanatajwa kuwa vinara wa kufanya biashara haramu ndani na nje ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.