Sawa, basi Kama unatokea kuanzia kimara Hadi kibaha.
Panda gari mbezi mwisho zipo gari za kwenda bagamoyo nauli ni 2000-2500
Kama unatokea nje ya hayo maeneo.
Chukua gari za bunju then ukifika bunju Kuna gari za kumwaga kwenda bagamoyo.
Ungesema,unatokea wapi uelekezwe njia ya HARAKA na unafuu.
Mwisho kabisa, jaribu kutumia Google map.
Search umbali kutoka mlandizi kwenda bagamoyo like chalinze kwenda bagamoyo.
Kama unatokea nyuma ya mlandizi pitia njia ya mlandizi.
Ikiwa unatokea kibaha pitia njia ya kibaha.
Kama unatokea...
Labda nikusaidie kitu kimoja.
Uhai wa born town kuna mtu kaushikilia
Huyo mtu akiamua hata sasa hivi huyo mtu wako afe anakufa tu.
2026 mbali Sana,wakati hata mwezi ujao born town hawezi kutoboa.
Turudi kwa currently CEO.
umejitahidi kumpamba aonekane hana hatia, lakini mfikishie ujumbe...
Mimi nilikutana na warumi humu jf.
Mazoea yakazidi tukapeana namba.
Mawasiliano yakawa makubwa, Siku Yupo hospital bado mawasiliano Naye yapo.
Alipokufa dada yake akanipa taarifa Siku ile ile maana nilimpigia kumjulia hali
Ile nataka kuwahi JF nakuta uzi ushaandikwa.
Hivyo ndivyo tunavyojenga...
Punguza ujuaji.
Jamaa kazaliwa miaka ya 80
Na si kwamba miaka ya 80 ndiyo kaanza shule.
Ina maana tutumie simple logic.
Kazaliwa 1980.
Akiwa na miaka 7 akaanza drs la 1
Ina maana 87 kaanza la 1
94 KAMALIZA LA 7.
hapo hapo vipi?
Lakini logic ya story yake ni kwamba jamaa kasoma shule ya Kata na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.