Mtoto wa kiume miezi 10, sasa hapendi Kula zaidi ya kunyonya na uzito haongezeki ni miez 3 constant anamaintain, nimeshabadili vyakula hadi basi, multivitamin sijaoba mabadiliko, sasa vipi
Natambua uwepo wako humu ndani ya JF,
Soma tuu maana hamna jinsi asome!
Tumekuwa nae kwenye uhusiano hadi kufikia kutambulishana kwa wazazi, Mungu si athumani akapata ufadhili nchi za wenzetu kusoma huku nyuma akiniacha mjamzito, kitu ambacho alikifurahia sana kwa kuwa age imeenda sana na...
Nawasalim kwa jina la anayetupa uhai, nianze kwa kusema tuu, ni mjamzito wa miezi 8 na wiki mpaka sasa, hivi karibuni nimeanza kuhis maumivu makali yanayoanzia chini ya kitovu mpaka sehemu za siri, naomba kuuliza, jee ndo mambo tayari au kuna vinginevyo, na kuanzia wiki ya ngapi naweza leta hiki...
Salaamu zenu wakuu,
Msaada kwa hili ninalopitia sasa, yaaani nahisi maumivu makali katika matiti kwa muda wa mwezi sasa, ukibonyeza katika nyama za kifuani, (sio kwenye chuchu).
Ukitembea yakitikisika tuu kosa.
Wadau, Mwenyezi kujua chanzo na namna ya kulitokomeza anijuze!
Natanguliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.