Habari wadau,
Natafuta ruler za pica nimezunguka nimechoka sasa naomba msaada hz ruler unaweza kuagiza kutoka nje shida gharama sn adi ije ikufikie ni kama laki hivi nataka niitumie kwenye design.
huu mjadala auish leo na hauna jibu la moja kwa moja inasemekana hata malaika wenyewe hawajawah kumuona MUNGU so sokution in evidence tuanzie hapo mwenye evidence yoyote mfano hai kabisa unaoashiria M7NGU upo aje hapa
umejibu vyema sn kisa wengi wanaamin na sisi tuamin kisa sisi ni wachache basi hoja yetu haina mashiko we need the truth ukienda kanisan kila ukiuliza swali majibu wanatoa katika kitabu kilichochapishwa na binadamu na bado wakatulazimisha tuamin kile kitabu k8meandikwa na MUNGU
mm npo apa...
NIMESOMA HILI BANDIKO huku nikiwa natetemeka na wadau wengi wamekuwa wak8mkashfu jaman punguzen mihemko twende mshikaji yy anataka kumuona MUNGU
Sssa hapa naomba tumsaidie na si kumkashifu tu
iko hv kwenye kuamin kitu kipo ni mawil moja ukione au upate evidence za kuaminika mfano...
sema i have no idea organ ndogo km jino ishindikane ata kupandikiza sidhani just imagine today people can change their heads why not uo ni ukomo wako wa kufikiri
Habar wadau !!!
Nimejaribu pitia majarida kadhaa uko mtandaoni zipo tafiti nyingi zinafanywa na wanasayansi kujua km upo uwezekano wa mtu mzima kuota meno km ilivyo kwa viumbe km papa.mamba nk
inasemekana kuwa ili jino liote itahitajika stem cell katika fizi ili ikuwe na kuwa jino zipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.