Search results

  1. K

    Jitibu U.T.I kwa mmea huu kwa matokeo yenye ufanisi zaidi

    Huu mmea ni tofauti na kashwagara uliovuma sana mwanzoni mwa 2000 kwa ajili ya mchanganyikowa kujifukiza??
  2. K

    Kuna Mlipuko wa Homa na Mafua makali jijini Dar

    Mi nilijihami kwa nyagi siku mbili mfululizo baada ya kuona koo limeanza kuwasha! Siku ya tatu nilikuwa fresh na kuendelea na kazi maka leo hamna kitu
  3. K

    Guru la Sheria (Halima Mdee) ameishinda Kamati Kuu ya CHADEMA

    Ila hujaona uteuzi wao ulivyokiuka Sheria na taratibu?
  4. K

    Kama huelewi ubaya wa Majimbo ya Lissu, angalia kinachoendelea Ethiopia

    Kajifunze upya historia ya Ethiopia ndo uje ueleze athari za majimbo hapa
  5. K

    Mishindo miwili kwa usiku mmoja

    Na ulipata mishindo miwili kwa kuwa mshindo wa kwanda uliukatiza kutokana na kushtuka ila ungelirelax na kufurahia kilichokuwa kinaendelea ungemaliza kuzitoa mbegu zote na mfuko wa mbegu kubaki empty. Ila kwa vile ulishtuka na kukatiza mbegu zisiendelee kutoka ndomana upipopata usingizi...
  6. K

    Mishindo miwili kwa usiku mmoja

    Hiyo ni hali ya kawaida, ndo njia Mungu alitupatia wanaume kutoa mbegu zilizozeeka na kuruhusu nafasi ya mbegu mpya. Kama hujaona na si mzinifu hali hiyo itakutokea mara moja au mbili kwa mwezi. Nikama ilivyo hedhi kwa wanawake Kama hajabeba mimba, yai lilulozeeka hufa na kutoka nje kwa njia ya...
  7. K

    Umbea tu: Kwa wale vijana wa 1982 (Achana na kilaza Bashite) waliopitia UDSM hasa wa mabibo hostel yule mdada alikua anaitwa kitimoto yu wapi nowdays

    Yupo Dar, huwa tunakutana dukani kwa mangi maeneo ya survey anadrive moja ya gari ya bei mbaya sana
  8. K

    Je, ni kweli Burundi na Rwanda zilikuwa sehemu ya Tanzania?

    kwa Nini usiulize kwamba Tanganyika ilikuwa sehemu ya Burundi au Rwanda?
  9. K

    Plot4Sale Kiwanja Kinahati Kigamboni 7,000,000 TSH

    Nadhani ulimaanisha inapakana na Mkuranga na si Kisarawe
  10. K

    Naona shule zimeanza ukorofi, wanatoza ada ya muhula ambao wanafunzi wamekuwa nyumbani

    Si yameongezeka masaa mawili kufidia muda uliopotea na kufutwa likizo. Maana July likizo ndefu ya mwezi mmoja imefutwa, September wiki mbili zimefutwa na December wiki mbili zimemegwa jumlisha masaa mawili ya ziada. Hivyo ni haki kabisa kulipa ada ya mwaka mzima
  11. K

    Je, Lema atamuomba radhi Tundu Lissu kwa hiki alichomfanyia?

    M Mbona hajanipigia Kama alipigia Kila mtu?
  12. K

    Aiseeh! Mke wa Mtu sumu

    Acha uzushi Mufindi Kijiji gani?
  13. K

    Njoo tusimualiane Mambo ya kutisha/kuogopesha uliyowahi kushuhudia hapa Duniani

    Mimi kijijini kwetu katika mkoa wa Songwe kuna jamaa ni mtu wa kujituma kufanya kazi na ana biashara zake za kununua na kuchinja ng'ombe hivyo mshiko anao ambao umemwezesha kuwa na wake wanne. Alinunua ng'ombe wa kisasa wa maziwa na kuwafuga ili familia yake isipate shida ya maziwa na kuongeza...
  14. K

    Ukweli kuhusu Wanyamanyafu/ Wamanyafu na Wanyakyusa

    kafanye utafiti upya, huna taarifa sahihi kuhusu jamii ya watu wa Nyika kabla ya ujio wa Manyafu
  15. K

    Corona: Kwanini kuna usiri? Hivi vifo ni kweli au kiini macho?

    nadhani hupati mudawa kuangalia vyombo vya habari vya nchi nyingine, mara ngapi wameonyesha maishi ya watu huko New York greda linachimba shimo na maeneza kupangwa kaa vile wanajenga ghorofa?
  16. K

    Why Africa Will Not Experience Massive Death From COVID-19

    Angalia trend ya maambukizi ilivyoanza taratibu sana Sauth Africa mpaka waliamini kuwa wanaelekea kushinda maana iliwachukua zaidi ya mwezi mmoja kufikia idadi ya maambukizi 1000 wakati hivi sasa hiyo 1000 ni idadi ya maambukizi ya siku moja tu.
  17. K

    Why Africa Will Not Experience Massive Death From COVID-19

    Kwani idadi ya miezi ndo inaamua?
Back
Top Bottom