Kuna changamoto kubwa sana ya watu kutofautisha kati ya International schools na English medium! Wengi wanasomesha watoto wao English medium wanahisi wapo International schools
Hiv nyie watu mna matatizo gani na wachaga? Hizo chuki zinatokea wapi? Hapo taarifa ni za Wameru lakini wachangia kama wachaga wanatoana roho!! Acheni chuki za kijinga!!
Dawa ya wezi/ majambazi ni risasi za kichwa!! Siyo watu wa kuonea huruma hata kidogo ukicheka nao wataendela kuumiza watu wengi sana!!
Wengi wenye hizo tabia wakipigwa za kichwa hata wanaoshirikiana nao au wenye hizo tabia au wanaotaka kufanya huo ujinga wataacha!!
Upuuzi mtupu kuwaza kushindanisha mikoa kila siku!! Hizi ni akili au matope,???
Alfajiri yote hii unawaza ujinga, badala ya kuwaza namna kuikomboa nchi yako!!? Wewe Dar au Arusha, au Mwanza au Lindi au mkoa mwingine wowote umejenga magorofa mangapi?
Na aliyekuambia Simiyu inashindana na...
Kwa kweli wafanya tu hata hiv itasaidia sana!! Haya mateso wanayowapa Watanzania hayafai kabisa!!
Wabnafishe tu hilo li Tanesco halina dhamani tena wameshindwa kabisa kujiendesha!! Na muhimu waigawe vipande vipande kama proposal yako uliyotoa, hata ikiwezekana kila Wilaya wawe na kampuni yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.