Kama JF ingerudi back to its roots tungepata mpaka VIMEMO toka kwa waloopeleka pale Mwenge/Mikocheni...kwenda wizarani
cha ajabu hakuna consultation iliyofanyika wao wamejiamulia tuuuu
slaumu watu wa serikali au mitaala
nalaumu JAMIIFORUMS ambayo sasa imeacha kumulika haya mambo sasa kila...
Wakati mnabishana humu kuhusu CHADEMA na CCM na nani ana watu wengi kwenye mikutano ya siasa.....Hivi mnajua kuwa vitabu vya Shaaban Robert vimepigwa marufuku mashuleni?
Tunahitaji news zenye interest na watu na sio hizi siasa za maji taka ambazo hazina maslahi
âKillingâ Shaaban Robert...
kwa nini waandishi vijana na mahiri kama akina Manyerere Jacton, Juma Pinto na wengineo hawaandiki lulu kama hizi za Ulimwengu?
Tatizo la Ulimwengu utalona humu JF na michango ya watu ilivyo kuwa narrow minded na matusi kwa sababu watu hawataki kukubali kuwa wengine wana misimamo tofauti ya yao
mleta mada acha uvivu wa kufikiri
kwani huyo KINANA na JK watakuja bila kualikwa?
CCM PWANI IKO WAPI?
MKUU WA WILAYA YUKO WAPI?
SERIKALI YA WILAYA IKO WAPI?
MBUNGE WENU YUKO WAPI?
WENYEWE MKO WAPI?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.