Search results

  1. Dena Amsi

    Picha yangu ya Leo

    Mmmhhh
  2. Dena Amsi

    Huduma na Bidhaa za HALOTEL

    Ha ha ha h kwa kweli hata mimi bado sana
  3. Dena Amsi

    Rais Magufuli apangua safu ya Makatibu wakuu. Mafuru atemwa Hazina, Ole Sendeka RC Njombe

    Acha ukabila na udini weweweee.. Unawaulizia wachaga na waislamu unataka @Kutambika??? in Nyerere's tone
  4. Dena Amsi

    Andika maana ya hizi picha kama ulitumia hivi vitabu.

    Umenikumbusha Pazi na Jogoo na Sizitaki mbichi hizi, Familia ya Mr & Mrs Daudi dahhh Old is "GOLD"
  5. Dena Amsi

    Kuna uwezekano wa kuanzishwa kwa ajira za mkataba serikalini

    We umekwenda mbali sana mistari 15?? Anaanzaje kwanza hiyo miwili changanya na title weka na shukran na sahihi ni kama mitano tu haiweze sembuse hiyo 15?? Ni adhabu ya mwaka hiyo............ Hao wa mahesabu eti huwa wanavisingizio eti mie siasa/history siweze mie hata ukinipa document nasoma...
  6. Dena Amsi

    Mimi ni mvivu kweli, naombeni ushauri

    Nilikuwa SS..... Ndio nimerudi TZ full time ndio maana unaniona sasa
  7. Dena Amsi

    Mimi ni mvivu kweli, naombeni ushauri

    Nimekumisooo sana aisee
  8. Dena Amsi

    Mimi ni mvivu kweli, naombeni ushauri

    U made my day aisee mpaka mkoloni kaja kuangalia nacheka nini..............
  9. Dena Amsi

    Kuna uwezekano wa kuanzishwa kwa ajira za mkataba serikalini

    Umeona eehhh kumbe na wewe yamekukuta eeehhh? Yaani mie sina hamu kabisa nimegeuka kuwa mwalimu siku hizi... ila kuna moja ndio iliniacha hoi kaja kufanya field/intern kafanya kamaliza akaaga namuuliza vip report umeandika? ananiambia yanini sasa mie nishamaliza miezi yangu mitatu nasepa...
  10. Dena Amsi

    Kuna uwezekano wa kuanzishwa kwa ajira za mkataba serikalini

    Kwa vyeti tuuu aahhh wapo vizuri waweke kazini sasa ni majanga matupu hata kuandika barua/memo ni shida mpaka unashangaa huyu mtu katokea wapi jamani unachoka kabisa
  11. Dena Amsi

    Kuna uwezekano wa kuanzishwa kwa ajira za mkataba serikalini

    Hii hali nilishaihisi sana na ninafikiri kwa maamuzi ya sirikali hii ya tano mmmhhh hii kitu ndogo sana kamata wote vunja mkataba wa permanent and pensionable wape mitatu mitatu au zuga mitano mitano... mhhh
  12. Dena Amsi

    Tutakusaidia kujua mkeo/mumeo anachepuka

    Nikimuacha mtanioa nyie????
  13. Dena Amsi

    Tunauza majani ya ngano kwa ajili ya tiba

    Vibabu nyie wewe na Asprin hamjaacha tuuu
  14. Dena Amsi

    Waziri Norway: Tunakula nguruwe na kunywa Pombe

    Duh huko tena ni hatari aisee.................
  15. Dena Amsi

    Wateja wa tigo tigo yaani mtandao wa tigo

    Mmmhhh wewe hebu sema ukweli maana hata mimi nimepata promo za zantel kwenye line yangu ya tigo ujue
  16. Dena Amsi

    Hivi Rais Magufuli ni Mwafrika kweli?

    Ulayaaaa labda na mimi nafanana na Prezidaa maana more than 27 countries za Africa nimekwenda but Ulaya hata moja sijakanyaga na sijui kwanini?? Paris, Washington, Brussels na Newyork vilinipitia kando kama sioni vile na leave nikachukua
  17. Dena Amsi

    Ni chakula gani hupendi, mimi sipendi ndizi za kupika

    Yaani hapa nitalala na njaa kwa kweli sipendi wali tena upikwe na nazi mweeeehhh hapana
  18. Dena Amsi

    Wairaqw ndivyo walivyo?

    Umeona eeehhh mie niko poa my dear..... upo?? Mekumisipo ujue? Go.... Kuleeee
Back
Top Bottom