Hizi comparison zingine mnazofanya hazina mantiki kabisa. Ukiangalia vizuri hizo picha za Nyerere utagundua kwamba hayakuwa matukio ya kufungua shughuli fulani bali ni mtu aliyejiandaa kwenda shamba kulima tofauti na Jakaya ambaye anafungua tu tukio na kuendelea na mambo mengine. Ushabiki kama...
Sometimes it is better to keep your mouth shut than trying to spread the venom. You know damn well that to some people hayo mavazi ni heshima kubwa kwao and yet unatoa comment kama hii????????!!!!!!!!!!!!!!!
Hivi unafikiri ni kwa nini Mrs Obama alivaa hivi. Ni kwa sababu ni muelewa na anajua...
Unafanya kosa lilelile, sidhani kama kuna haja ya kubeza watu hapa. Kama unapenda kula kitimoto basi wewe kula tu kwa raha zako hakuna haja yeyote ya ku-provoke watu wengine. Kama matajiri wa zanzibar huwa wanapelekewa so what?? Au matajiri ndiyo wanaokupangia wewe cha kufanya???!!!
Nakuunga mkono 100% Gaijin. Kwa malezi ya namna hii, mwisho wa siku huyo unatengeneza dume jike fulani au kwa maneno mengine unatengeneza a woman with a man's attitude.
Kimsingi naona ni kama vile unakubaliana na mtoa mada, zaidi wewe umeongeza ukubwa wa seti kwa kuonesha aina nyingine ya wasichana ambao wanaweza kuwa wamedekezwa. Ukimsoma vizuri mtoa utaelewa kuwa anajaribu kusema kuwa wasichana waliodekezwa hawafai kuolewa, kwa kweli sina hakika sana na hili...
Mkuu wewe ni mwandishi? Kama sio basi ningependa kukufahamisha kuwa ninaamini una kipaji cha uandishi. Hongera sana.
Kwa bahati nzuri nitawaachia ma-alwatan watoe mawazo yao katika hili.
Acha kukurupuka. Una hakika Quran imebadilika??? Au unajiandikia ili ionekane kuwa kwa sababu Biblia inabadilika kutoka kipindi fulani hadi kingine basi ni lazima na Quran nayo ibadilike.
Kwa taarifa yako Quran iko vilevile tangu ilipoandikwa kwa mara ya kwanza na itabaki hivyo. Usijiandikie...
That is what happens when you lock opposite sexes in one building without proper precautions. The problem is bigger than Bhoke, it the whole establishment which in itself is wrong in the first place
Hata kama wanasimamia huo mstari, huoni kuwa wanachemka. Maana yake kama nimekuelewa vizuri mstari unasema Daudi alimwimbia Mungu hadi nguo zikamvuka na sio Daudi alivua nguo ili amwimbie Mungu. Au labda mimi ndio mgumu kuelewa nini??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.