Nadhani jana hukunielewa. Hilo Ndilo tatizo la niye vijana hapa JF.
Hapa unadhibitisha nilichokisema
Ref Ubaguzi ninaoupata Zanzibar, wakija Dar nitawapa haki yao
Hayo manyanyaso yategemee kwa sana. Unajua tangu Samia ameingia madarakani, Zanzibar imejengeka kiuchumi. Athari zake ni Watu wengi kutoka Bara, kujimwaga Zenji.
Ukumbuke muingiliano huondoa fursa kwa wenyeji. Hapo ndipo chanzo cha ubaguzi na manyanyaso kwa wageni.
Data za sensa ya 2022...
Tatizo Dar huijui. Enzi hizo 1960s Oysterbay ilikuwa Kama Mbweni ya Sasa. Miaka 20 ijayo Mbweni haitakua na mimaji kama Sasa.
Ndiyo maana ukitembelea sehemu nyingi mijini itakuta nyumba za zamani kama zipo shimoni na nyingine Mpya zipo juu
Nipo na msituko maana waliokuwa wandai kuwa wamekopa kumbe walikuwa wanatafuta pesa za kupeleka watoto wa marafiki hospitali.
https://www.jamiiforums.com/threads/sijui-kwanini-nimeumia-hivi.2202268/
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.