Wanaandika kwenye nylon ile ya juu, japokuwa kuna makampuni kanjanja saiv hawaweki, unakuta mtu unanunua godoro 12" miezi mitatu tu lishaweka shimo kati
Godoro bora ni lenye kuanzia density 28 kurudi chini bila kujali kampuni, ukitaka godoro original la vita na usiwe na mashaka nenda showroom kwao posta
Natamanigi sana kumwambia bimkubwa nakupenda sana ila ikifikia hyo point ya kusema hvyo sasa najisikia kama noma flani hv, naishia tu kumwambia bimkubwa nakukubali sana yaani mwenyewe anacheka tu
Na michepuko inatakiwa ijue mapema kuwa una familia mambo ya kudanganya mwanzo sio poa, mie dame akishindwa kukubaliana na hali ya mm kuwa na familia ndo tunaishia hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.