Napenda kuishauri Time ya Uchaguzi iwatumie Viongozi wa Dini katika kusimamia zoezi la uchaguzi siku ya Jumapili. Kwa haya malumbano yanayoendelea ya kukaa mita 200 kutoka kwenye kituo au kwenda nyumbani baada ya kupiga kura yanaweza yakaisha.
Naamini kila eneo lina Viongozi wa Dini kama vile...
MABARAZA YA KATIBA YA WILAYA YAWE HIVI
Tume ya mabadiliko ya katiba imetoa mwongozo wa jinsi ya uundwaji wa mabaraza ya katiba ya wilaya. Mie sina shida sana na uendeshaji wake, bali nina matatizo kuhusu muundo na utaratibu wa kuwapata wajumbe watakaounda mabaraza hayo.
Kwa mujibu wa Tume...
Tatizo lipo kwamba wakati vijana wale wanabishana mpaka shutuma za kuinajisi kuran, walikuwa wawili tu, ushahidi utakuwa mgumu kuthibitisha kama kweli kijana aliikojolea kuran.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.