Hii Ripoti ni miaka mitatu sasa haijapelekwa Bungeni
Na Lilian Timbuka, Mwananchi
Posted Alhamisi, Februari 12 2015 saa 9:26 AM
Kwa ufupi
Hayo yalisemwa jana na Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Dar es Salaam. Kamati iliyoundwa na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), kuchunguza mabilioni ya...
Wakuu kwa aliyefanikiwa kufanya verification ya CRDB VISA card kwenye PayPal na akafanikiwa anisaidie, mimi inanipa msg "billing address doesnt match with paypal street address. NB: hii card nishaiauthorize crdb ifanye transaction online!
Arnold Swai ambaye pia ni mwandishi wa gazeti la habarileo, akihutubia baada ya kutangazwa Mwenyekiti wa UVCCM wilaya ya Hai mkoa wa Kilimanjaro baada ya kushinda uchaguzi uliofanyika juzi. Swai alipata kura 151 kati ya kura 222 zilizopigwa
Picha kwa hisani ya Rachel Pallangyo mwandishi wa...
Msaada wadau mwenye kujua AVCHD Activation Key ya Magix Movie Edit Pro 17 HD Plus, nashindwa kuingiza Video kutoka kwenye Camcorder yangu inayopiga muundo huo wa AVCHD.
Wanajukwaa hili la Siasa, na wale Great Thinkers naomba kufahamishwa huu ukoo wa Wazanaki kule Musoma umetoka wapi na historia yao katika mapambano ya kupinga ukoloni Tanganyika.Tunajua walikuwepo Wangoni, Wahehe, Wasukuma nk hawa Wazanaki historia yao ikoje?
Wandugu nabadili Avatar kutoka
Na natumia rasmi Avatar ifuatayo hapa chini
Hii ni kutokana na mgongano wa Avatar katika Post ifuatayo;
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/164479-ukiwinda-mwanamke-muda-mrefu-mara-nyingi-huishia-kuwa-disappointed-2.html
Nimekuwa nikiona watu wengi wanazungumzia kuwa wanaweza kumtrace mtu akiwa online ama kwa kujua IP address yake au Jina lake kamili, jina la kompyuta yake na vitu kama hivyo.
Sasa leo nilikuwa nahitaki kuwa traced, aniambie mtu yeyete hapa mimi niko wapi, jina langu kamili, IP address yangu...
Miili ya marehemu waliouawa na Polisi imezikwa leo bila mikusanyiko ya watu baada ya Polisi kupiga marufuku mikusanyiko. Wanasema kwa sasa hali ni shwari na watu wanaendelea na shughuli zao kama kawaida.
Nini kitafuata...?
Haya kwa wale mliokuwa na wasiwasi na dawa ya Babu Mch. Mwasapile, watafiti wamesema leo haina madhara yoyote kwa binadamu na wanafanya uchunguzi kwa wagonjwa 200 waliotumia kikombe cha Babu. Source Channel 10 habari leo saa moja
Wanajamvi, utu uzima unazidi kuyoyoma, miaka 33 inakatika sina wa ubani mie. Huenda yumo humu jamvini aliye mpweke kama mie, binti maridhawa, mpenda maendeleo, asiyezidi miaka 30, elimu angalau asiwe chini ya kidato cha nne, anayejituma katika kufanya kazi mvivu simtaki akha! Kupima Virusi vya...
Akizunguma na Kituo cha Redio cha Zenji FM, 96.8 cha Zanzibar katika kipindi maarufu cha 'Mwangaza wa Habari', Selelii ameeleza kuwa aliambiwa Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz anahusika na Kampuni ya Richmond na pia ni Mmiliki wa Kampuni ya Caspian, na hili kamati teule tuliambiwa na mwandishi wa...
Mi nimeomba ushauri wa Kiteknolojia namna ya kutengeneza BOMU, thread imefutwa ghafla hii kweli kiboko. Tunataka kukuza vipaji vyetu Watanzania, badala ya kuagiza nje ya nchi tutengeneze wenyewe.
Hili ni jukwaa la Teknolojia hivyo mwenye kujua namna ya kutengeneza Bomu hasa kwa wale waliopitia...
Matokeo ya awali Mpanda Mjini Said Arfi wa Chadema anaongoza vituo 27 kati ya 28 mpaka sasa
Katika vituo vingine na kura za wagombea katika mabano ni
Azimio 1, Chadema (124), CCM (23),
Azimio 2, Chadema (72), CCM (62),
Azimio 3 Chadema (88), CCM (49),
Azimio 4, Chadema (72), CCM (55)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.