Wazo ni ziri sana nafikiri serikali ibuni mbinu mujalabu ambao utafanya ulipaji wa kodi usiwe na maumivu kwa walipaji kiasi wakajikuta wanatafuta mbinu za kukwepa kulipa kodi,ulipaji wenye mpangilio mzuri ambao ukawekwa katika mazingira mazuri nafikir utamfanya mlipa kodi kuwa na amani katika...
Binadamu kazi kweli kweli,yani mkuu wa nchi kwa manufaa ya taifa akaona amchague huyu mama ambae kwakwel yupo vzr kikazi leo tena tunaanza maneno,jaman kwann hayawaingii akilin kama kuna mabadiliko makubwa ya kiutendaji hapo ?ilikuwa ni kitu cha ajabu sana kwa vipindi vya nyuma mpinzani akawa na...
Napenda kutoa pongezi zangu za dhati kwa Mh.Rais Magufuli ,kwani huo uteuzi hakuangalia itikadi za chama ila kalitizama taifa kwanza.Pia hongera mkuu wa mkoa mpya
Tutake tusitake sisi wote ni wamoja suala la umwagaji damu kwa ujumla wote tusiwaachie polisi peke yao linawahusu kila mmoja wetu,uzalendo mbele na siasa baadae.
Mkuu umeongea jambo la maana sana ,kwamba kuongoza sio lazima uwe profesa au una experience ya miaka 15 kazini apana, ni vizuri tukiwa tunatoa ushauri kama hivi kwa rais wetu.
Nimekuelewa vizur mkuu lkn kauli zako juu ya kiongozi wa nchi kama rais sio nzur jitahid uwe na utulivu pia utambue kama rais kakukwaza ukaona bora afe tambua pia wazazi wako ama watoto zako pia wakikukwaza utatamani nao wafe ambao sio jambo zuri.
Binafsi napenda sana huu uthubutu wa mkuu wa mkoa wa DSM bila kujali elimu yake,kama itawezekana Mheshimiwa rais awe anaangalia kwa jicho la pili wale wenye uthubutu pia wazalendo wenye uchungu na taifa lao asiwaache badala ya kuangalia vyeti ambavyo havina uthubutu
Tuwe na malalamiko ya kikweli jamani ila hizi chuki binafsi sio njema,sioni kama kuna tabu kwa rais kujenga kiwanja cha ndege chato je kama angejenga katika mkoa mwingine badala ya chato tungemsifia au ? Tupazeni sauti katika mambo ya msingi ndio kulisaidia taifa letu lkn chuki hazita tusaidia...
Ndugu zanguni nimefarajika kwa elimu yenu juu ya masuala ya biashara,naombeni mnisaidie ninae rafiki yangu ana kiwanda cha kutengeneza mifuko ya magunia ya cotton,kikubwa ama changamoto ni masoko nawaombeni msaada wenu kwa huko.
Ahsanteni
Scorpion yupo chini ya ulinzi wa police na kwakuwa amemtoboa mwenzie macho basi Kaanza ale kisago huku akitoa maelezo yalionyooka,hapo ndipo tutapata ukweli wa Kila kitu.asanten
Binafsi,napenda kushauri wizara husika kuwa karibu na wateja wao yaani walipa kodi Ili marekebisho yafanywe na uwekwe utaratibu wa elimu kwa wananchi ili ulipaji wa kodi kwa mwananchi isiwe kama ni vita baina ya mtoza kodi na mlipa kodi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.