Baada ya kuiona hali halisi ya jiji la Mbeya ambapo wamachinga wamekwaruzana na polisi kwa muda wa masaa 10 tumejifunza kwamba wananchi wakiamua hakuna awezaye kuwazuia.
Vurugu za Mbeya zinaonekana hazikuendeshwa na wamachinga peke yao bali hata wananchi wa kawaida walishiriki kuonesha...
UZEMBE NA UFISADI wa viongozi wetu ulichukua mimba na umezaa umaskini mkubwa nchini, nao umaskini ukakomaa ukachukua mimba unataka kilizalia taifa letu mtoto aitwae ushoga nao ushoga utalliua taifa na kulipeleka jehanamu. Watanzania wenzangu tusikubali ndoa za jinsa moja kwani vitabu vitakatifu...
hali ya kiuchumi ya Nchi yetu ya tanzania baada ya uchaguzi wa Ubunge wa jimbo la Igunga ipo taabani na sababu kubwa ikiwa matumizi makubwa ya fedha katika uchaguzi huo; licha ya bajeti kupita hakuna ajira, gharama za maisha zimekuwa kubwa, wafanyakazi hawalipwi kwa wakati, hospitali hazina...
Kulipoibuka tiba ya kikombe cha babu wa Loliondo watanzania wengi hasa viongozi wa dini, wanasiasa na madaktari walikiunga mkono kikombe cha babu lakini sasa wadau hawa hawa wamekigeukia kikombe cha babu na kuitaka serikali ipige marufuku huduma ya Babu Mwaisapile wa Loliondo.
MTIZAMO WANGU...
Wana JF, bajeti ya serikali ya mwaka 2011/2012 ilishapita lakini hatujaona matangazo ya ajira wala ajira au ndio kama miaka miwili iliyopita? serikali isijisifu tu kwa idadi ya vyuo na wanachuo bali waaandae sera za kuwepo ajira manake hili ni bomu wanalojitengenezea, mfn. kiongozi mmoja...
Napenda kuwajuza wadau wote waliofanya interview mara 2 Mamlaka ya Taifa ya Vitambulisho (NIDA) MAJIBU YAMESHATOKA na waliofaulu wameshapigiwa simu jana na leo, so kama hujapigiwa simu consider urself unsuccessful au uombe baadhi yao wasiende ili uitwe wewe.
wana JF kuna hizi ofisi mbili zinazohusika na utaftiaji wa kwa watu wasiokuwa na ajira lakini mpaka sasa zimeprove failure ila wanapokea mishahara minono, je kuna haja ya hizi ofisi kuwepo?
Inaripotiwa kuwa wafanyakazi wengi wa Serikali wamechelewa kulipwa mishahara yao ya Mwezi wa 9, je hii inawezekana ni kutokana na serikali kutumia pesa nyingi katika uchaguzi wa Igunga ili Chama Cha Mapinduzi kishinde?
Tangu aanze kuifanya kazi yake kama waziri mkuu pinda ameonyesha uwezo mkubwa wa kusimamia kilimo, ningekuwa Rais ningemteua awe waziri wa kilimo, hii inatokana na sababu kuwa mtu hufanyavizuri ktk fanianayoipenda. hii imekaaje wadau!
Leo mchana nimekutana na mdogo wake DC FATMA KIMARIO mitaa ya Kkoo akanidokeza kuwa dada yake huyo ni Mkristo wa Ukweli wa Roman Katoliki na anasema dadake jina la fatma ni la kimaslahi zaidi kwani kule kwao WAMETUMWA ELA ATI! na anashangaa baadhi ya watu kusema dadake ni Muislamu! nashawishika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.