Hivi zombe ni bado mfanyakazi wa serikali?leo front page ya mwananchi ameonekana akimtoa kwenye nyumba inayogombewa ya familia ya kawawa mama anayesemekana ni mke mdogo wa mzee kawawa,huyu jamaa bado yupo kazini?
Naomba nisipewe jina la Shekhe Yahya au Pweza Paul,kwa vyovyote vile kwa mwenendo jinsi ulivyo kwa sasa, CCM wanawinda chini ya siasa za maji taka. Kila kundi linajipanga kwa 2015, Je CCM kumrejesha Mkapa 2015 kuokoa jahazi?
Binadamu wote tuna madhaifu yetu,na linakuwa jambo la furaha na amani kwa jamii pale mmoja wetu anapogundua udhaifu wake na kuamua kurudi au kutubu.
Lowassa amekuja na style ya aina yake ya kutaka kuwa karibu na jamii baada ya rundo la kashfa juu yake likiwamo la kuhusishwa kwake na kampuni...
nani kaiona picha ya mary chatanda?msaada plz ili iwe rahisi tutakapoanza zoezi la kumtenga katka kila nyanja ndani ya jamii kwani ndiye muhusika mkuu wa yote ya liyotokea arusha,hivi makazi yake haswa yapo wapi?
Amekuwa mtu wa kunukuu vipengele vya kitabu hiki kitakatifu na kutumia tafsiri anayopenda yeye,
mathalani kwenye moja ya nukuu zake anazosema kuwa bibilia inawataka watu kutii mamlaka zilizo kuu.
Hivi huyu kibabu hajui kuwa utii bila kufikiri ni utumwa?naomba cv yake hapa waungwana
nimefarijika pia kuna mdau mmoja wa arusha ameniambia vyombo vya habari vya kimataifa ameviona arusha,hapa hakuan kulegeza kamba,ni kuwaonyesha dunia serikali dhalimu ya ccm ilivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.