Mimi ni mdau wa elimu,naomba kujifunza kitu hapa.
Miss Tanzania wa mwaka 2014 Sitti Abbas Mtemvu anadai ana umri wa miaka 18 na ana elimu ya shahada ya uzamili (Masters).
Jaman kwa namna ipi na kivipi inakuaje nisaidieni.Inachukua miaka 18 mtu kupata masters.Ina maana alianza shule na miaka 0...
kwan nani kakwambia mimi ni mwalimu? ---- dat! mimi nimeandika hayo nikimaanisha kuchapa kwa kumrudi mwanafunzi sijamaanisha kwa kuonea....mpaka hapa nilipofika ni kwa sababu nilichapwa na kufunzwa njia nzuri ya kupitia kwa nn wadogo zetu tuwalemaze??
Mimi nashangaa sana watu wanakaa wanajadiri ooh viboko mambo ya kizamani!..ooh viboko ukweli ni kwamba mitoto ya cku hizi bila fito hainyooki, hata kama magenius wachache tz ila mbele ya kiboko lazma waongezeke na matahira wapungue....u cant teach an old dog new styles, but with sticks it will...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.