CHADEMA inatoa roho..hamuiwezi.
Unalikua sakata la escrow wewe? Rugemalila hakuwa fisadi ktk sakat hilo ..aliuza hisa zake kwa halali akalipa kodi ya serikali, na ndiye aliyelitoa nje..bila yeyey we kapulwa ungelijulia wapi??
Hongeleni Bukoba Development Fund..kazeni buti,kelele za Lumumba na...
Katika hali ya kushangaza, mgombea ubunge jimbo la Arusha Mjini kupitia chama cha ACT Megro Mollel amegoma kusaini matokeo ya uchaguzi japo amepata kura 342 tu kati ya kura halali 104,353 kwa kila alichodai kwanini Lema kashinda bila kutaja sababu ya malalamiko yake.
Katika uchaguzi huo...
Wanabodi,
Inashangaza mtu anayejiita muadilifu kuendelea kungangania wizara wakati zaid ya miezi mitatu sasa hajagusa wizarani..huku akiendelea kula mishahara na malupulupu yote wa waziri??
Huu ni wizi wa wazi wazi wa kodi zetu .
Huu ni UKURUNZINZA.
Hata kama JK hajavunja baraza la...
Naona unaongea kinyume nyume..
Ukweli ni kwamba..
" Slaa aliposoma alama za nyakati na kuona atazidi kudhalilika kuwatumikia vibaraka wa ccm , act (kama ilivyopengwa na kina Mwigulu) akagoma kumpanda jukwaa lao, ACT imekata tamaa!!!!!!!!
There's no option ACT has to dead away!!!!!!!!!
Wanabodi,
Wagombea wawili wa urais wamekuwa wakiahidi mabadiliko. Tunagalie kwa kina dhana halisi ya mabadiliko kwa hawa watu.
Lowassa ameahidi mabadiliko kwa kufanya yafuatayo:-
1.Kurudisha katiba ya warioba
2.Kutoa elimu bure mpaka chuo kikuu
3.Bima ya afya
4.Hospitali kila wilaya
5.Posho...
FACTS: AHADI ZA LOWASSA ZINATEKELEZEKA, ZA MAGUFULI HAZITELEZEKI:
AHADI 5 ZA LOWASSA:
Mpaka sasa ameshota takribani ahadi 15 tuongelee 5 kubwa
1. ELIMU BURE HADI CHUO KIKUU (Sh. trilioni 9.9)
2. BIMA YA AFYA, HOSPITALI KILA WILAYA (Sh. trilioni 5.84)
3. POSHO WENYEVITI VIJIJI, MITAA (Sh...
Ni puuzi kujadili ubinafsishaji bila kumjadili Mkapa.
Kamishna tu, tena wa katume tu !! Anawezaje kuwa na nguvu kuliko waziri?? kuliko Rais ??
Juma Mwapachu IS CLEAN MAN, A VERY CLEAN MAN. Vijana wa Lumamba hizi propaganda mnaendesha zitawaghalimu sana.
Hongera Juma Mwapachu kwa UAMUZI...
Wanabodi,
Leo tumeshudia taasisi ya Mwl Nyerere ikitumika kisiasa kufanya kampeni za waziwazi kwa mgongo wa mdahalo wa Amani.
Hakuna duniani mdahalo wasemaji wakuu wakawa wa itikadi moja tu??..hii ajabu imetokea leo kwenye hii taasisi nia aibu kubwa kwa heshima ya Mwl.
Tumeona wasemaji wakuu...
KUNA KOO ZIMEJIWEKEA "UFALME" WA KUWATAWALA WATANZANIA NA NYIE MMEFANYWA "WATUMWA" WAO
1 Mtoto wa Kikwete anagombea
2. Mtoto wa Mavunde anagombea
3. Mtoto wa Warioba anagombea
4. Mtoto wa Sitta anagombea
5. Mtoto wa Bulembo anagombea
6. Mtoto wa Nauye anagombea
7. Mtoto wa Mgimwa...
Magufuli si mtu sahihi kama mnavyotaka tuamini..
1. Taarifa ya CAG aimeonyesha wizara yake imekiwba zaidi ya bil 92, je alifanya nini?? kuna mtu alimuwajibisha? alijiajibisha ??
2. Amegawa nyunba za serikali kwa hawala
3.Ameshindwa kulinda ndoa vyema, ndoa imekuwa na migogolo..ataweza nchi...
Wadau,
Abasi mtevu leo ktk viwanja vya mwembe yanga ameendeleza tabia ya ccm kutoa kauli za kuhatarisha amani. Alisema..'kule mbagala panapo tusumbua tutapanyia kazi maalumu..nimeshaongea na Yussuf Manji atatoa msaada tuwashughulikie,lazima tushinde kwa jinsi yoyote ile'
Hizi ni kauli...
Kutoka FB:
" Slaa alinishangaza...kabla hajasafiri alisema mwenyewe kuwa kinywa chakekuwa Ilani ya CHADEMA ambayo Mh.Lowassa anainadi leo, iliandaliwa kabla Mh.Lowassa hajaingia CHADEMA na yeye Slaa alishiriki vyema kuiandaa (akitegemea kuja kupeperusha bendera ya CHADEMA).
Baada ya kurudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.