Tangia juzi kumekuwepo na mgogoro wa madiwani wa Geita dhidi ya mgodi wa GGM, lakini cha ajabu umekuwa hairipotiwi humu JF wakati ni ishu kubwa kabisa.
Marekani hajawahi kushinda Vita kumbuka alipokea kichapo kutokea kwa Vietinam, mwaka 1993 alienda Somalia akala kichapo heavy sana, VITA VYA afighastan na Iraq mpaka leo vita vinaendelea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.