Nasikitishwa na ukimya wa viongozi wa dini kuto mkosoa rais anapoenda kinyume na katiba au kutoa kauli za kuwakatisha tamaa tafadhali viongozi wa dini simamieni misingi yenu
Chama cha walimu ni jipu lafaa kutumbuliwa kinakusanya mabilioni kila mwezi wameshindwa kununua hata basi moja la kusafirisha walimu hata mabasi ya eicher na tata mmeshindwa kununua mnabaki kupiga vita ubunifu wa mkuu wa wilaya ya Kinondoni Paul Makonda
Ndugu mheshimiwa raisi tunaomba usihangaike na ongezeko la mshahara Bali tunaomba tupatiwe posho ya kati kati ya mwezi pamoja na mikopo nafuu ya nyumba maana ukiongeza mshahara na makato yanaongezeka hivyo inakuwa sawa na hakuna kinachofanyika wafunguliwe maduka yao maalumu kwa ajili ya mikopo...
Naliomba jeshi la polisi nchini lifuatilie wamiliki wa piki piki huko maeneo ya vijijini inasemekana kwamba piki piki zinaibiwa mijini zinaenda kutumika vijijini hivyo inasadikika wamiliki wanaoishi maeneo hayo wanamiliki piki piki za wizi kwani wanajua huko vyombo vya dola havifiki vile vile...
Pikipiki Aina ya boxer imeibwa maeneo ya pugu namba T 775 CKL engine no PFZWDA 30074 chassis no MD2A21BZ5DWA12886 uionapo toa taarifa kituo cha police au nitumie sms hum humu jf au ni pm zawadi nono itatolewa kwa atakaye fanikisha kupatikana kwa pikipiki hii nyeusi
Ndugu walimu wa Manispaa ya Ilala tuchukue jukumu la kuandamana kwenda kudai malimbikizo ya hela za nauli.Madaraja na stahiki zetu mbali mbali maana viongozi wetu wa CWT Ilala hakuna wanachokifanya.
Waaalimu wanadai hela za likizo toka mwaka juzi tangu lini hela ya likizo inakopeshwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.