Kasome ujiendeleze uwe na wewe mkurugenzi achana na majungu si mtaji ndugu.Wakati wenzio wanasoma we ulikuwa wapi?Shida hawa wa vyeti Feki wakishasombwa na mafuriko ya bashite ndio kuchafulia wengine.Kweeendraaaa kule pumbavuuuu
Kuna Huyu Jamaa Anaitwa Keissy Sio Mbunge Wa Chama Changu Lakini Anafaa Sana Kurudi Ni Msemakweli Na Siku Zote Ukweli Unawauma Hadi Wao Wenyewe.Na Hiyo Ndio Siasa Hakuna Kuchagua Rafiki Wala Adui.
nyie voda ni mambulula jana nimenunua simu zenu zile za promo mkasema mnatoa ofa ya internet gb 3 kumbe changa la macho mnanitumia eti vi mb 500 nitumie ndani ya siku 30 na limtandao lenu liko slow kwenye net balaa.asanteni narudi nilipokuwa simu nimempa housegirl kama zawadi ya kukaa na mwanangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.