Kimsingi elimu ya kitanzania ni moja ya elimu isiyofaa katika dunia ya leo, mfumo wa elimu ya tanzania umeunganishwa na siasa na kujichimbia katika siasa,jambo ambalo ni hatari kwa ustawi wa elimu yetu elimu inapaswa kuamua nini inataka na sio wanasiasa wanataka nini katika elimu.
Tumeshuhudia...
sisahihi hata kidogo kumuanzisha mtoto shule akiwa na umri wamiaka saba ,huu ulikuwa mfumo wa kikoloni mtoto anatakiwa kuanza shule mapema iwezekanavyo anapoweza kutambua mambo ya msingi .
Ripoti ya CAG,inasema ccm imekopa fedha kutoja mufuko ya hifadhi ya jamii halafu imeshindwa kulipa,halafu unategemea nini,ni kufuta fao la kujitoa maana hataweza kuwalipa watu wakijitoa,hivi ccm ni chama cha siasa kinapewa na nani ridha ya kukopa hela za watumishi ,hivi ccm ulishindwa kwenda...
Haaaa hao mafisadi wamezidi kwa kweli,kusema ukweli siwawezi,wachaniendelee na saga za viwandooo ,mabobadiernna mastiglaaa joji bila kusaha mastandadi geji na mwisho ntawahakiki watumishi,naichukia mitandao
Hivi tunawashwa na nini?,hivi Tz nayo ni nchi,embu tungewalipa watumishi mishahara,tungejikita zaidi kutoa mikopo bila ubaguzi vyuoni,kushusha bei za nishati kama maji na umeme,mambo ya mabeberu ya dunia hii yanatushia nini
mmmmhhhh naogopa yale ya sukari,bwana tusaidie waja wako naona kiama cha mafuta ya kula kinakuja,eee bwana sukari imetuachia majonzi na machungu mpaka leo,bwana zuia janga la mafuta lisitupige
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.