Tafadhali naomba kujulishwa, nimemsikia jana Dr. Mwigulu Nchemba akisema sasa unaweza ukaomba kupitia online, sawa nimekwenda na nimeona hizo form lakini sasa kwa mimi ninayetaka hiyo kubadilisha passport ya kutoka ya zamani kwenda e-passport nitumie ipi
manake kuna vipengele hivi nimevikuta...
Kuna habari kutoka kijiji cha Sangu kule wilaya ya Kwimba, wakisema fisi wavamia kijiji na kula au kuua watoto, mlioko huko au karibu, tunaombwa kujuzwa.
MCHAGA HATA APATE KAZI BANK BADO ATASEMA YUPO KIBARUANI.
SASA MHAYA APATE KAZI MACHINE YA KUSAGA NA KUKOBOA.
UTASIKIA "I WORK AS A CRUCIAL ENGINEER IN A MONOCOTYLEDON FINALIZING COMPANY"
Hivi jeshi la Sungusungu liliishia wapi? Nakumbuka nikiwa Mwanza kulikuwa na jeshi la Sungusungu la Kasamwa, lilikuwa ni moto wa kuotea mbali. Lilikuwa linafanya kazi kwa weledi sana. Ni nini kilifanya mpaka Sungusungu ipotee, manake walisaidia sana Kanda ya Ziwa kuzima uhalifu.
habari, naomba kuuliza mtu mwenye kujua hii program ya SEO, nina website yangu nataka niingize huko ili iweze someka na watu zaidi, ni ya biashara lakini, naomba msaada wenu
jana nimemsikia mkuu wa polisi akihojiwa na kikeke akisema wamesambaza askari polisi 70 elfu, sasa nikajiuliza kumbe tuna ulinzi wa kutosha kulinda raia na mali zetu, sasa kwanini matukio ya wizi na ujambazi yameshamiri sana kumbe ulinzi tunao, kwanini tembo wanauwawa na majangiri na ulinzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.