Hata mimi nakubali kuwa kikosi cha Simba cha sasa kina matatizo ambayo kimsingi yanawezesha kuita timu ni mbovu. kwa leo siwezi kuelezea, ila timu itatinga robo fainali kwa kutumia jina na uzoefu. hakuna namna nyingine.
Usisumbuke na hawa VAR wa mchongo. Mtu yoyote anayefuatilia mwenendo wa soka anajua kuwa ile ilikuwa offside labda aamue kujifanya mjinga ili aanzishe ubishi wa kijiweni.
kwa bahati mbaya kabisa hatuna wachambuzi wa soka, tuna watu wa masimulizi, wanaoendeshwa na hisia, bendera fuata upepo na siyo taaluma sababu hawataki kujishughulisha kujiendeleza kwenye hiyo taaluma.
Tatizo kubwa linalosumbua vichwa vya watu ni kuiona kila timu inayofungwa na Simba haijui mpira, ni dhaifu. Wanasahau kuwa hizo timu zao wanazodhani ziko vizuri huwa zinapigwa tu zikicheza na hizo timu.
Anyway acha tufurahie uwakilishi wa timu mbili kwenye mashindano tofauti.
kuolewa ni suala moja na kupendwa ni suala jingine. Siyo wote walioolewa wameolewa na watu waliowapenda, ndiyo maana kuna ndoa zipo ICU, watu wanaishi kwa vile walikutana wakakubaliana tu "Bora yeshee".
Unaweza ukampenda sana mtu lakini moyoni ukawa na hisia tofauti kama anaweza kukufaa kama...
Kama huyo mama mwenye mtoto amekubali kuolewa na mimi sitakuwa na tatizo na huyo mtoto. Mengine yooote ni sababu ya udhaifu wa binadamu, kwamba ata cheat! Hata hawa tuliowaoa wakiwa hawajazaa kabla wanawezafanya hivyo mazingira yakiruhusu. Kikubwa search team ya kichwa changu iwe vizuri wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.