Search results

  1. Miiku

    Kuwa na Marafiki wanaoeleweka

    Hello Guys, Katika maisha ya sasa (sijui huko nyuma) kuwa na marafiki wanaoleweka namaanisha wenye uchumi wa kati na wajuu kama wewe ni hohe hahe ni ngumu sana kujoin na watu kama hawa, utaishia kuwa na wa level ya chini ambao nao ukipata changamoto ya kifedha e.a hawawezi kukusaidia zaidi ya...
  2. Miiku

    Line ya airtel haisomi kwenye samsung A30

    Wadau nina simu aina ya Samsung A30 Kwenye data haifanyi kazi ila ya voda ina operate kawaida kwenye internet . Msaaada wadau nifanyeje
  3. Miiku

    Duka gani la simu aina ya Samsung Arusha

    Wadau nahitaji simu aina ya Samsung A20c naomba kujua bei yake kwa hapa Arusha na ni duka lipi linauza hizi simu org
  4. Miiku

    Jambazi Mako wa Kibosho Moshi

    .
  5. Miiku

    TANZIA Tanzia: Mmiliki wa Kashai Co.Ltd Arusha afariki dunia

    Taarifa Mkurugenzi wa Kashai Group companies ya jijini Arusha. Kashai Security. Kashai Games Loliondo, Mwenye vitalu vya uwindaji Loliondo Bwana Kashai amefariki mapema Leo. Hakika kwake tutarejea, alikuwa mfanyabiashara mpenda haki na mcheshi kwa kila mtu. Innahlilah wainnahhlay rajioun Sent...
  6. Miiku

    Majirani , watu wanaofahamiana nao

    Hivi inakuwaje majirani na watu wanaokufahamu Kufurahia changamoto (shida yako)? Iko hivi kuna jamaa hapa jirani alikuja na gari ya polisi Jana akitokea kituoni na maandamano ya polisi kuja kumpekua Anako ishi na kurudi nae kifupi ni issue ya kampuni anayo Fanya kazi ya security . kuna wizi...
  7. Miiku

    Watu wanao heshima mitandaoni ni hawa?

    Hawapost hovyo wala hawaweki status kwenye mitandao Mara kwa Mara na hawaangalii status za watu na wako online anytime je haya yana ukweli wanajiheshimu/wanadharau? Na watu kama hawa mnawakabilije mtandaoni? N:b hawa ni wa WhatsApp, fb na Instagram #stayhome #coronaSent using Jamii Forums...
  8. Miiku

    Anapost status WhatsApp lakini hajibu text yako

    Duniani kuna mambo unamwandikia mtu jumbe kupitia wtsp hajibu unaona ana update status wtsp ukiona hivyo jua huna Thamani maishani kwake we futa tu namba Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Miiku

    Dontinatha Posh amefiwa na aliekuwa mumewe ambae alikuwa akiitwa Posh

    Ameandika Steven Mengere au Steven Nyerere kwenye Ac ya Instagram! Kuwa Dontinatha Posh Amempoteza aliyekuwa Mumewe Posh. Poleni wafiwa wote. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Miiku

    Ifahamu asili ya jina Chuo kikuu cha Stephano Moshi

    BABA ASKOFU DR. STEFANO REUBEN MOSHI Ndiye Askofu Mkuu wa Kwanza wa KKKT Tanzania (1963 -1976). Ndiye Mwanzilishi wa Hospitali Ya Rufaa KCMC alikuwa na maono makubwa juu ya KCMC. Chuo Kikuu cha Stefano Moshi Memorial University College (SMMUCO),hapo awali kilijulikana kwa jina la masoka...
  11. Miiku

    Afrika Kusini maambukizi ya Corona yafikia 700

    Waziri wa Afya nchini Afrika Kusini Dk Zweli Mkhize ametangaza kuwa idadi ya watu walioambukizwa virusi vya corona nchini humo imeongezeka kutoka 554 jana na kufikia 709 leo asubuhi. Dk Mkhize amelieleza Shirika la Habari la Afrika Kusini (SABC) kuwa wanatarajia waathirika wa corona wataendelea...
  12. Miiku

    Haji Manara na mchuchu

    My friend Haji Manara haya mambo mwachie Le Mutuz, mzee wa rangi ya mtume Usituletee tu corona Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Miiku

    Tumechoshwa na wanaume kulaumiwa pindi mambo yanapoharibika

    Kumekuwepo na dhana wanaume ndio wanaotekeleza mimba, watoto na wanawake! Tuhuma ni nyingi kila kona "eti" wanaume wana roho mbaya, watu hawachunguzi nini chanzo mpaka kikapelekea mwanaume kuondoka (kutekeleza) wakati mwingne mwanamke ni mjeuri, mshari, mgubu hasikilizi, hashauriki na kawaida...
  14. Miiku

    Naomba mwenye uzoefu na gari aina ya Starlet anifahamishe ubora wake

    Ndugu wana JF, naomba kutaka kujua nahitaji gari ndogo atleast Starlet nimetenga bajeti ya 3.5 mpaka 4 million. Naomba mwenye uzoefu na hii gari afunguke mfano ulaji wa mafuta, uimara wake, ustahimilivu wa barabara zetu hizi. Na uwezo wake. Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Miiku

    TCRA iimulike Airtel wa jicho la tatu

    Natumia line ya airtel ya chuo najiunga na vifurushi vya Un ukiweka 2000 wanakupa 1gb na dakika 225 kwa wiki. Cha ajabu hiyo GB moja haikai angalau 24hrs. Nimejiunga nimeangalia video mbili za dk8 _8 ghafla MB zikaisha! Na hii si Mara moja mb kuisha haraka. Tafadhali nawaombeni TCRA mulikeni...
  16. Miiku

    Kazi ya udalali: Changamoto na namna bora ya kufanya kazi hii

    Hello wanaJF, Ninataka kuanza kazi za udalali wa nyumba za kupanga, kuuza na viwanja hapa Arusha, ila nataka zaidi nijikite kwenye nyumba za kupanga! Nipeni uzoefu, changamoto na namna bora za kufanya kazi hii. Kazi ikiwa nzuri na mpango wa kufungua ofisi physically ya kupatikana. Niwe na...
  17. Miiku

    Vijana kutia nia ya kugombea uongozi wa kisiasa CCM imekuwa changamoto

    Ndugu wanaJF, Hasa vijana, sisi kama vijana nafasi zetu kuomba kugombea uongozi wa kisiasa wa kuwatumikia wananchi. Imekuwa changamoto ndani ya chama, chama cha mapinduzi pindi tukutanapo na wazee Kwa "hoja" kwamba wana title mtaani. Je, kwetu sisi vijana tufanyeje au tufanye shughuli gani ili...
  18. Miiku

    Kila tunapoianza siku basi ni vyema kukiri na kujitakia baraka

    Kumekucha ni siku nyingine tena na tunamshukuru Mungu kwa zawadi hii. Nikwambie tu ipo nguvu kubwa katika maneno yako.Kila tunapoianza siku basi ni vyema kukiri na kujitakia baraka. Embu jikubali kuwa umebarikiwa sana, una afya na nguvu, una neema, una vipaji, kadri unavyokiri baraka ndivyo...
  19. Miiku

    Familia ya Balali yamwangukia Dr Magufuli

    Familia ya Marehemu Daudi Balali imemuomba Rais Magufuli kuisaidia kuokoa mali za Gavana huyo wa zamani wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) ambazo inadai zimechukuliwa na Wajanja wa Mjini. _ Balali aliyeripotowa kufariki Dunia Marekani Mei 16, 2008 alikuwa Gavana wa BOT katika Utawala wa Serikali ya...
  20. Miiku

    Naomba kujua namna ya kuhifadhi namba za simu na documents nyingine kwenye email

    Ndugu wana Jf, nimefungua account ya email kwenye simu yangu. Naomba kuelekezwa namna ya kutunza namba za simu na documents mbalimbali kupitia email ili ikitokea simu nimebadilisha pindi nikinunua nyingine, majina ya namba niyapate yote kadhalika picha. Anayejua atujuze.
Back
Top Bottom