Hello Guys,
Katika maisha ya sasa (sijui huko nyuma) kuwa na marafiki wanaoleweka namaanisha wenye uchumi wa kati na wajuu kama wewe ni hohe hahe ni ngumu sana kujoin na watu kama hawa, utaishia kuwa na wa level ya chini ambao nao ukipata changamoto ya kifedha e.a hawawezi kukusaidia zaidi ya...
Taarifa Mkurugenzi wa Kashai Group companies ya jijini Arusha. Kashai Security.
Kashai Games Loliondo, Mwenye vitalu vya uwindaji Loliondo Bwana Kashai amefariki mapema Leo. Hakika kwake tutarejea, alikuwa mfanyabiashara mpenda haki na mcheshi kwa kila mtu.
Innahlilah wainnahhlay rajioun
Sent...
Hivi inakuwaje majirani na watu wanaokufahamu
Kufurahia changamoto (shida yako)?
Iko hivi kuna jamaa hapa jirani alikuja na gari ya polisi Jana akitokea kituoni na maandamano ya polisi kuja kumpekua
Anako ishi na kurudi nae kifupi ni issue ya kampuni anayo Fanya kazi ya security . kuna wizi...
Hawapost hovyo wala hawaweki status kwenye mitandao Mara kwa Mara na hawaangalii status za watu na wako online anytime je haya yana ukweli wanajiheshimu/wanadharau? Na watu kama hawa mnawakabilije mtandaoni?
N:b hawa ni wa WhatsApp, fb na Instagram
#stayhome #coronaSent using Jamii Forums...
Duniani kuna mambo unamwandikia mtu jumbe kupitia wtsp hajibu unaona ana update status wtsp
ukiona hivyo jua huna Thamani maishani kwake we futa tu namba
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameandika Steven Mengere au Steven Nyerere kwenye Ac ya Instagram! Kuwa
Dontinatha Posh Amempoteza aliyekuwa Mumewe Posh.
Poleni wafiwa wote.
Sent using Jamii Forums mobile app
BABA ASKOFU DR. STEFANO REUBEN MOSHI
Ndiye Askofu Mkuu wa Kwanza wa KKKT Tanzania (1963 -1976).
Ndiye Mwanzilishi wa Hospitali Ya Rufaa KCMC alikuwa na maono makubwa juu ya KCMC.
Chuo Kikuu cha Stefano Moshi Memorial University College (SMMUCO),hapo awali kilijulikana kwa jina la masoka...
Waziri wa Afya nchini Afrika Kusini Dk Zweli Mkhize ametangaza kuwa idadi ya watu walioambukizwa virusi vya corona nchini humo imeongezeka kutoka 554 jana na kufikia 709 leo asubuhi. Dk Mkhize amelieleza Shirika la Habari la Afrika Kusini (SABC) kuwa wanatarajia waathirika wa corona wataendelea...
Kumekuwepo na dhana wanaume ndio wanaotekeleza mimba, watoto na wanawake!
Tuhuma ni nyingi kila kona "eti" wanaume wana roho mbaya, watu hawachunguzi nini chanzo mpaka kikapelekea mwanaume kuondoka (kutekeleza) wakati mwingne mwanamke ni mjeuri, mshari, mgubu hasikilizi, hashauriki na kawaida...
Ndugu wana JF, naomba kutaka kujua nahitaji gari ndogo atleast Starlet nimetenga bajeti ya 3.5 mpaka 4 million. Naomba mwenye uzoefu na hii gari afunguke mfano ulaji wa mafuta, uimara wake, ustahimilivu wa barabara zetu hizi.
Na uwezo wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Natumia line ya airtel ya chuo najiunga na vifurushi vya Un ukiweka 2000 wanakupa 1gb na dakika 225 kwa wiki.
Cha ajabu hiyo GB moja haikai angalau 24hrs.
Nimejiunga nimeangalia video mbili za dk8 _8 ghafla MB zikaisha! Na hii si Mara moja mb kuisha haraka.
Tafadhali nawaombeni TCRA mulikeni...
Hello wanaJF,
Ninataka kuanza kazi za udalali wa nyumba za kupanga, kuuza na viwanja hapa Arusha, ila nataka zaidi nijikite kwenye nyumba za kupanga!
Nipeni uzoefu, changamoto na namna bora za kufanya kazi hii.
Kazi ikiwa nzuri na mpango wa kufungua ofisi physically ya kupatikana. Niwe na...
Ndugu wanaJF,
Hasa vijana, sisi kama vijana nafasi zetu kuomba kugombea uongozi wa kisiasa wa kuwatumikia wananchi. Imekuwa changamoto ndani ya chama, chama cha mapinduzi pindi tukutanapo na wazee
Kwa "hoja" kwamba wana title mtaani.
Je, kwetu sisi vijana tufanyeje au tufanye shughuli gani ili...
Kumekucha ni siku nyingine tena na tunamshukuru Mungu kwa zawadi hii. Nikwambie tu ipo nguvu kubwa katika maneno yako.Kila tunapoianza siku basi ni vyema kukiri na kujitakia baraka.
Embu jikubali kuwa umebarikiwa sana, una afya na nguvu, una neema, una vipaji, kadri unavyokiri baraka ndivyo...
Familia ya Marehemu Daudi Balali imemuomba Rais Magufuli kuisaidia kuokoa mali za Gavana huyo wa zamani wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) ambazo inadai zimechukuliwa na Wajanja wa Mjini.
_
Balali aliyeripotowa kufariki Dunia Marekani Mei 16, 2008 alikuwa Gavana wa BOT katika Utawala wa Serikali ya...
Ndugu wana Jf, nimefungua account ya email kwenye simu yangu.
Naomba kuelekezwa namna ya kutunza namba za simu na documents mbalimbali kupitia email ili ikitokea simu nimebadilisha pindi nikinunua nyingine, majina ya namba niyapate yote kadhalika picha.
Anayejua atujuze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.