Leo nataka kuteta kidogo na Ndugu Zitto Kabwe,Kijana uliejizolea umaarufu mitandaoni na kuyasahau matatizo ya wananchi wanyonge katika jimbo lako la Kigoma Mjini.
Hakika umekuwa machachari kwa kujenga hoja,kukosoa Serikali ,kuponda na hata kutukana na kubeza kila kitu kinachofanywa na serikali...
Mbinu hizo ni
1. Demokrasia
2. Mikopo
3. Haki za Binadamu
4. Kupandikiza Viongozi wa kuwasaidia kuwapumbaza Waafrika wasahau Mateso waliyowafanyia Wazee wetu.
5. Mfumo wa Elimu
6. Kutukuza Lugha zao na Ufadhili wa kusomeshwa.
7. Misaada yenye Mashariti nafuu.
8.Kukudumaza uwezo wa kufikilia ili...
Kwa kile kinachoonesha Madiwani kumchoka Zitto Kabwe, Wamchana wazi Jioni hii kwenye Ofisi za ACT Wazalendo Kigoma ujiji ambayo ni Makao Makuuu ya ACT Wazalendo Mkoa wa Kigoma, kuwa wamemchoka kwa tabia yake ya kudai 10% kwa migongo ya Madiwani lakini Mwishowe anaishia kuwapatia Madiwani...
Moto umewaka ndani ya ACT Wazalendo Kigoma kutokana na Azma ya Madiwani wote kumkataa Meya wa Manispaa . Usiku wa kuamkia tarehe 16.01.2020 wamejikuta viongozi wa kitaifa wakishindwa kuyamaliza na kusababisha kuendelea kufukuta mpka walilazimika kutumia Mishumaa ili kuendelea kutafuta suluhisho...
Kutokana na Madiwani wa Manispaa ya Kigoma ujiji kuchoshwa na tabia ya Meya Hussein Luhava ya kushirikiana na Zitto Kabwe kuwatumia kwenye kupiga madili mbalimbali kwenye Manispaa ya Kigoma.
Wamemgomea Meya na Zitto Kabwe kushirikiana kwa kile wanachodai hawatendewi haki.
Taarifa kutoka kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.